Is this true?

Ijuganyondo

Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
62
Reaction score
1
Eti jamani hii ni kweli? Eti mapenzi ni pesa?!eti bila fyeza hakuna luv? Sisi masikin tuta-survive kweli?
 
Pendana na masikini wenzako. Sasa wewe huna hata baiskeli halafu unamtaka mtoto wa EL
 
Hakuna mwenye pesa akakimbiwa na mwanamke hata kama ile kitu imelala forever.
 
Pesa..........Penzi ???
Penzi.........Pesa ???

mmmmhhhhhh
 
Pesa za kubadilisha vinywaji na outing za kimtindo ziwepo japo.
Vishoping na vivocha, lol!
 
Mbona wenye pesa wanagongewa na ma house boi...aah wapi mapenzi ni utamu tu, pesa si kiiivo
 
Pendana na masikini wenzako. Sasa wewe huna hata baiskeli halafu unamtaka mtoto wa EL

Princess will marry a prince, son of a shoe maker will marry a daughter of a shoemaker...! That's the fact
 
Kweli kabisa mapenzi ni pesa, ila inatofautiana kwa amount tu!!!!!! Sisi wa mia tunapendana wenyewe na wao wa mamilioni wanapendana wao, huo ndio ukweli :love:!!!
 
we kama hauna pesa subir kugongewa mkeo! vizee vy cku hz nuksi vinahongaa balaa!!
 
Pesa inanogesha mapenzi, kama huna haizuii kumpata mpenzi! ila utampata wa size wa mfuko wako!
 
usitumie pesa kama fimbo kakaaaa mambo ya pesa huwa na makubaliano hapo ndipo pesa huwa na dhamani eeeeh!
 
Mapenzi si pesa ila maisha bila pesa hayaendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…