Is this true?

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Hii nimeipata tu sehemu nikaona bora niulize kama huku ndio kukokotoa kwenyewe
 
Ngoja waje wenyewe, utawaeleza ulikoipata!
 
haionekani fresh,kama vp ikuze kidogo mkuu...
 
tutafsirie mkuu, maana wengine hapa jf ni 'special seats'.
 
Kama kitambo nimeshaiona hii humu!! ila siyo mbaya........ napita.
 
Not true... Ngoja nami nika copy na ku paste ya men.. Mtakimbia wooote..
 
Ebu zoom nione!

Sasa kwa kutumia ka Chainizi Telefoni kako, bonya hapo kwenye hako kapicha katafunguka kwa ukubwa na utaweza kukasoma
 
Hahahaaaaa! hilo jina lako aisee halafu tena special seat....what a match!
Hebu nisaidie kutafsiri asee ili special siti naye apate kuelewa formula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…