Is water fasting real?

Is water fasting real?

Daizy

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
11
Reaction score
3
Wakuu, nimekua nikisoma forums nyingi huko google kuhusiana na hii kitu "water fasting"...kuna wengine wanasema mwanadamu hawezi kumaliza siku tano kwa kunywa maji tu atakufa. Wengine wanasema mwanadamu anaweza kukaa hata siku 60 akiwa anakunywa maji tu na asife!
Je ukweli upo wapi hapa?
 
Mm nimewahi kufanya fasting 3days kavu kavu yaani huli hunywi. Mfano kama nilikula j2 usiku basi hyo naitafuta alhamis asubuhi. Na niliweza. Basi 5days kwa kunywa maji ni more than possible
 
Wakuu, nimekua nikisoma forums nyingi huko google kuhusiana na hii kitu "water fasting"...kuna wengine wanasema mwanadamu hawezi kumaliza siku tano kwa kunywa maji tu atakufa. Wengine wanasema mwanadamu anaweza kukaa hata siku 60 akiwa anakunywa maji tu na asife!
Je ukweli upo wapi hapa?
Aisee.... Ngoja wataalam waje
 
Sasa ucpo kunywa maji for 3 days ukienda kushit hali itakuaje?
 
Hii water fasting wanasema inasafisha mwili, wengi wanarecommend 5days.
then ufanye fruit fasting..
sijawahi kujaribu.
 
Is that water fasting? What is fasting? in connection with what you're talking about .
 
Kilakitu kitaendelea kama kawaida though kasi itapungua bse hakuna intake
 
Kuna watu wanafunga 40days wanatumia maji au juice halisi ya matunda isiyoongezwa sukari na wanasurvive
 
Back
Top Bottom