Tatizo ni umaarufu wake ama traffic jam ya muda?
Hizo zote ni ishara za jamii iliyokata tamaa
Niliona kipindi chake star Tv janakinarushwa live kutoka arusha.nadhani atarusha live mpaka semina iishe.
Hayo mengine kama ni tapeli wa kiganga ,au kama ni mwijilisti wa uongo mie sijui kwa vile sina ushahidi na sina haki ya kumhukumu.
Mbarikiwe na Bwana!
sio rahisi kujua ukweli, kwa sababu ya imani yako, siku zote FAITH ikiwa kubwa basi THINKING inakuwa ZERO,
KAKOBE ANAKWAMBIA WANAWAKE WASIJIPAMBE NA MAMBO YA DHAHABU NA MAWIGI NI MAMBO YA KIJINI HIVYO WENYE DHAHABU WAZISALIMISHE KANISANI, NA KWELI WENYE IMANI ZAO WALIFANYA HIVYO, KWA UPANDE WA PILI LWAKATALE ANAKWAMBIA ANAHUBIRI INJILI YA KITAJIRI ANAKWAMBIA KAMA UNAWIGI AU DHAHABU WE VAA TU SASA BIBLIA NI MOJA NA KWA SABABU WATU WANAIMANI BAC THINKING HAKUNA,
KABOBE ANAVUNA KWA MASIKINI, LWAKATALE ANACHANJA KWA MATAJIRI
Lakini kituko, mi nimetazama na nimesikiliza sana maongezi yake, anatumia vitu vya kawaida kama machungwa, kitunguu swaumu etc, shida inakuja wapi kama watu wanapona kweli?
hata mimi ni mtaalam sana wa haya madawa ya machungwa,vitunguu na kazalika kazalika, lakini usini pm kwa sasa, nipo likizo, nikimaliza likizo nitawataarifu.Lakini kituko, mi nimetazama na nimesikiliza sana maongezi yake, anatumia vitu vya kawaida kama machungwa, kitunguu swaumu etc, shida inakuja wapi kama watu wanapona kweli?
Lakini wote tunajua machungwa ni dawa na pia ni tunda ,kitunguu ni kiungo na pia ni dawa si bora yeye anatibu kwa kutumia njia mbadala
hata mimi ni mtaalam sana wa haya madawa ya machungwa,vitunguu na kazalika kazalika, lakini usini pm kwa sasa, nipo likizo, nikimaliza likizo nitawataarifu.
Kwa hiyo unaona mchango wake katika taifa ulivo mkubwa? Wangapi wanafundisha watanzania elimu kama hiyo ili waepuke hatari ya sumu?.Kwa hiyo ana haki ya kuwa celeb na kuwavuta watu wengi na hayo mapokezi anastahili,Sababu amefanya kitu kinachoonekana kwenye jamii,Mtu anayempinga ni bora atupe na ushahidi wa kukosoa kile anafanya sio maneno ya fitina na wivu.I think its high time we went for the altenative medication, maana madawa haya ya madukani yana side effects nyingi mno ambazo, kwa bahati mbaya hatuzijui.
Isaac ndodi, japo mi si wakala wake anakuelekeza jinsi ya kutumia hivi vitu vya asilia, na more interesting hakupi yeye, anakwambia ukavinunue popote...so unajitibu kwa kitu ulicho na uhakika nacho...
I see it as a revolutional treatment!
Wajameni, tujifunze kuwa tuna appreciate pale mtu anapotoa huduma zenye faida kwa jamii, kama wewe unaona huyu ndugu hana msaada kwako hilo ni juu yako lakini kwa baadhi ni msaada mkubwa
Wewe ndio unanifurahisha kweli. Hivi wewe unavyodhani imani ni mpaka iwe ya kikristo au kiislamu? Kwa taarifa yako hata wewe hapo unaishi kwa imani ila sijui imani gani.Na naweza kusema wewe ndio una ziro thinking kwa vile hata hujitambui kama unaishi kwa imani.sio rahisi kujua ukweli, kwa sababu ya imani yako, siku zote FAITH ikiwa kubwa basi THINKING inakuwa ZERO,
KAKOBE ANAKWAMBIA WANAWAKE WASIJIPAMBE NA MAMBO YA DHAHABU NA MAWIGI NI MAMBO YA KIJINI HIVYO WENYE DHAHABU WAZISALIMISHE KANISANI, NA KWELI WENYE IMANI ZAO WALIFANYA HIVYO, KWA UPANDE WA PILI LWAKATALE ANAKWAMBIA ANAHUBIRI INJILI YA KITAJIRI ANAKWAMBIA KAMA UNAWIGI AU DHAHABU WE VAA TU SASA BIBLIA NI MOJA NA KWA SABABU WATU WANAIMANI BAC THINKING HAKUNA,
KABOBE ANAVUNA KWA MASIKINI, LWAKATALE ANACHANJA KWA MATAJIRI
deh deh deh, hili jina nimelipia haki miliki, nikijiita jina la kiswahili kama mzizimkavu nitakosa mchumba katika hili dunia la ubaguzi, tukirudi kwenye mada, jamaa akihitaji tenda ya kupelekewa machungwa nijulishe nina shamba la urisi la michungwa.KLOROKWINI..
nASIKITIKA kwamba jina lako ni dawa iliyopitwa na wakati.!lol
Lakini jina lako ni mfano halisi wa effects za dawa za kisasa, ambapo zinafikia wakati zinaekspaya, unlike tiba asilia...
Wewe rafiki yangu bora ujiite MZIZIMKAVU orijino!...huh!
Wewe ndio unanifurahisha kweli. Hivi wewe unavyodhani imani ni mpaka iwe ya kikristo au kiislamu? Kwa taarifa yako hata wewe hapo unaishi kwa imani ila sijui imani gani.Na naweza kusema wewe ndio una ziro thinking kwa vile hata hujitambui kama unaishi kwa imani.
Hivi unadhani hao wanasayansi wakubwa akina Newton kama wasingekuwa na imani na sayansi yao wangegundua? au hao waliogundua ndege?
Pole sana. Ndio maana hata nchi imeweka kipaumbele kuheshimu imani za wengine.
Kaa na imani yako na uwaache wenzio waamini imani zao ilimradi hazivunji taratibu za nchi.
Kama watu wanaona wanapona wakienda kwa Ndodi waache,aftaloo huwezi kuwasaidia kwenye magonjwa yao.
deh deh deh, hili jina nimelipia haki miliki, nikijiita jina la kiswahili kama mzizimkavu nitakosa mchumba katika hili dunia la ubaguzi, tukirudi kwenye mada, jamaa akihitaji tenda ya kupelekewa machungwa nijulishe nina shamba la urisi la michungwa.
I think its high time we went for the altenative medication, maana madawa haya ya madukani yana side effects nyingi mno ambazo, kwa bahati mbaya hatuzijui.
Isaac ndodi, japo mi si wakala wake anakuelekeza jinsi ya kutumia hivi vitu vya asilia, na more interesting hakupi yeye, anakwambia ukavinunue popote...so unajitibu kwa kitu ulicho na uhakika nacho...
I see it as a revolutional treatment!