Isaac Ndodi: Umaarufu Gani Huu?


😕Sasa we mzee wa "kindimba juu" ulijifunza nini kwenye hilo darasa la sabato huko songea? unge wahi haka kaujanja mema kabla ya Ndodi!!
 
Jamani hebu msimtuhum mtu bila kufanya uchunguzi wa kutosha.. Nawaomba mfanye kitu kimoja nyie mnaompinga Ndodi, fatilieni vitabu ambavyo huwa anavisoma na kutumia kwa ajili ya tiba. Visomeni hivyo vitabu halafu mvitumie kwa vitendo, kwa maana ya kujitibu kama utakuwa na tatizo MTAPONA.

Vitabu anavyovitumia Ndodi vingi ni kutoka hospitali/Chuo kikuu cha Lomalinda USA. Chuo hiki/Hospitali hii inasifika kwa tiba ya dawa za asili. Ndodi si mganga wa jadi!! Hatumii lamli kutibu, hakwambii uvue nguo zote wakaati unakunywa dawa, wala hakwambii umpelekee kuku mweupe!! Jamani tutofautishe WAGANGA wa Jadi na madaktari wa tiba mbadala (Herbalist)!!

Imagine dawa zake, mfano kutumia vitunguu swaumu kutibu.... Nani asiyekifahamu kitunguu swaumu kwa kutibu magonjwa mbalimbali????? Tusimwonee gere kwa kupokewa hivyo ni MGANGA WA TIBA MBADALA si MGANGA WA JADI anaetumia RAMLI!!!!

Kilichopo nyinyi mnaojiita wasomi mfanyie utafiti elimu yake aliyo nayo ( Tufatilie vitabu anavyovitumia kupata elimu) na tutumie elimu hiyo kuwasaidia wananchi, si kumkatisha tamaa. Wa kukatishwa tamaa labda kina Manyau nyau. Imagine kukausha uvimbe bila kufanya operation!! Elimu aliyo nayo jamaa ni kubwa kuliko baadhi ya jamaa zetu wa Muhimbili pale, wanaopasua kichwa na kuliacha goti lenye tatizo!!!
 
Watanzania elimu yetu haijatusaidia sana, inasikitisha sana
 


Fanya utafiti wa kutosha wewe! Huyo jamaa anaatumia vitabu toka Lomalinda university (Chuo chenye historia na misingi ya kisabato), ambapo hapo kuna utaalamu wa tiba mbadala. Sisi tummeng'ang'ania ma-FLAGYL yenye makemikali kibao, lakini kuna vitu vya asili tunavyoweza kuvitumia na tukapona.

Fatilia vitabu anavyovitumia jamaa visome. I am sure utaelimika na hutahitaji kwenda kwake waweza kujitibu mwenyewe. Mi binafsi kinachonifanya nimwamini Ndodi, hakwambii umpelekee kuku mweusi, au unywe dawa huku umevua nguo zote wala hakwambii uende makaburini kwa wazee wetu.

Pia huyu jamaa anatumia vitu ambavyo wote twavifahamu, sema jamaa amevichimbua zaidi ndo maana amekuwa mtaalamu. Nani asiyefahamu umaarufu wa kitunguu swaumu ktk kutibu?? Nani asiyefahamu limao ni dawa?? Nani asiye fahamu maji ya moto yanatibu mafua??

Tusimwonee gere mshikaj kwa kupokewa hivyo amejitahidi sana kwa nafasi yake aliyo nayo, inawezekana wengi wetu humu hata hatujawahi kupokewa hata na msafara wa baiskeli.. Au ulitaka apokewe ka fisadi?? Kapokewa ka mganga wa tiba mbadala umemsema.. hahaha..

Kikubwa inabidi wanojiita wataalam wafanyie utafiti elimu aliyo nayo jamaa.. Unless kama tukimwingiza kwenye kundi la wachawi au waganga wanaotumia lamli, basi tutapoteza mtu mhimu sana.

Watu wamemkubali kwa sababu ni kweli anawaponya..


Anawapiga gepu wanaopasua kichwa badala ya mguu..
 
Jamani tungeweza kupata mtu ambae alipata tiba toka kwa huyu Ndondi na sio Ndodi angeweza kutupa feedback nzuri ya tiba yake,wengi wetu hapa hatujapata tiba toka kwake hivyo hatuwezi zungumza.
 
enyi kizazi chenye imani haba ,,,,mbona hamuamini haha
 
Huyu Isaack anataka kufanana na mama Terry kwa kuchambua dawa kwa kutumia matunda na mboga mboga.
Hivi yule mama Terry siku hizi yupo wapi?
 

Thanks,very well said!
 
Nyerere once said if you think education is expensive try ignorance. Unfortunately Tanzania opted for the latter and we are reaping the fruits. The answer to your question is simple - IGNORANCE of our people.
 
Watu wote walio mlaki Ndindi walienda kwa hiari yao na hawakulazimishwa na mtu yeyote.
Si busara kujadili mapokezi yake kama jambo ambalo hakustahili kufanyiwa hivyo. LABDA MTOA MADA ATUELEZE KWA NINI ANACHUKIZWANA MAPOKEZI YA ISACK NDONDI Je ni fisadi au kunajambo gani alilolifaya mpaka ionekane si sahihi kwa watu wa Arusha kumlaki? Nadahani kuna chuki binafsi katika hili.
Kwa ujumla miundombinu ya Arusha si mizuri na kuwepo kwa traffic jam si jambo lilotookea tu siku hiyo, ni jambo la siku zote.
 
Lakini kituko, mi nimetazama na nimesikiliza sana maongezi yake, anatumia vitu vya kawaida kama machungwa, kitunguu swaumu etc, shida inakuja wapi kama watu wanapona kweli?

hakuna shida kwa mtu anayeelewa umuhimu wa chakula bora hasa faida za matunda mwilini ambayo ndio dawa tosha pamoja na hayo maji. ila kwa yule ambaye hajui faida za matunda na kunywa maji mengi ambayo hupunguza sumu za vyakula tunavyokula lazima ataponda kama wengine walivyoponda hapo juu. pengine wanajua afya ni kunywa pombe na nyama choma basi.

kwa hiyo hata hao wanaoponda tusiwalaumu hawajui walitendalo wanachojuwa ni kunywa panadol tu wakisikia maumivu ya kichwa bila kujua hicho kichwa kinaweza kuuma kwa viashirio vingi ikiwa ni pamoja na ukosefu wa kula matunda na upungufu wa maji mwilini.

i love jf.
 
Huku Dar mbona mtu wa kawaida tu na ofisi zake zipo Magomeni watu tunamchukulia kama mganga njaa tu.

Pole kwa kutokuwa na ufahamu kwa afya ya mwili wako lait ungelijua analofundisha ukalifuata wewe na familia yako ungeepuka magonjwa mengi kama presha, kisukari na mlundikano wa sumu mwilini. unajuwa tatizo letu tunajua kuponda sana na kulalamika tu basi, lakini ukilizwa wewe unaeponda unajua nini jibu ni ziro utaanza oh oh nk.

Tujifunze kuwa na shukurani kwa kitu kizuri mtu anachofanya na tujifunze kuiga mazuri sio kuponda na kulalamika tuuu, hatutaendelea tutabaki oh fisadi, oh sijui nini sasa wewe unafanya nini kupingana na huo ufisadi, au na huo uganga njaa au ni kulalama tu. loh!!
 
Tapeli wa kutupwa ukichanganya na technlogy ya habari kama matangazo ya tv na utaalamu wa kuzungusha ndimi na huku ukitoa maneno yanayofaa kusikilizwa na jamii iliyochoka basi umekuwa bilionea.Ni mipango tu!
 
Tapeli wa kutupwa ukichanganya na technlogy ya habari kama matangazo ya tv na utaalamu wa kuzungusha ndimi na huku ukitoa maneno yanayofaa kusikilizwa na jamii iliyochoka basi umekuwa bilionea.Ni mipango tu!
Jaribu na wewe kuwa tapeli tukupokee kwa shangwe.
 


Ni kweli,pia wapo jamaa hapa arusha,wanatokea kanisa la sabato hupita maofisini wanauza hivyo vitabu,lakini huviuza bei ghali sana.Mfano kuna kitabu kinaitwa 'FOOD ENCYCLOPEDIA' kinauzwa hadi tshs 400.000. na vingine vingi bei zake ni kati ya 75,000 mpaka 200,000.Kwa bei hizi watanzania wachache tutaweza kuvipata.


Swali,
kwa nini jamaa anajiita dr?

na kuna jamaa mwingine ni shahidi wa jehova,naye anatibu kwa mitishamba anajiita dr Jk buberwa,najiuliza kwa nini wanajiita madoctor?
 
Huyu Isaack anataka kufanana na mama Terry kwa kuchambua dawa kwa kutumia matunda na mboga mboga.
Hivi yule mama Terry siku hizi yupo wapi?

Mama Terry yupo mjini, katulia baada ya watu wenye akili zao kumbaini kuwa hana lolote la maana. Bwana Ndodi ameshabainika kuwa si lolote hapa dar na sasa ameamua kuwaliza watu wa mikoani. Vipi ushauri wa kula matunda, kunywa maji kwa wingi, kupunguza vyakula vya mafuta na sukari hupati hospitali?

Inashangaza kuona watu wenye akili zao wanatetea mtu ambaye hana elimu ya kutosha kuhusu matibabu.
 
nyota njema huonekana asubuhi................
 
Share this Chart with everyone
Apples
Protects your heart
prevents constipation
Blocks diarrhea
Improves lung capacity
Cushions joints
Apricots
Combats cancer
Controls blood pressure
Saves your eyesight
Shields against Alzheimer's
Slows aging process
Artichokes
Aids digestion
Lowers cholesterol
Protects your heart
Stabilizes blood sugar
Guards against liver disease
Avocados
Battles diabetes
Lowers cholesterol
Helps stops strokes
Controls blood pressure
Smoothes skin
Bananas
Protects your heart
Quiets a cough
Strengthens bones
Controls blood pressure
Blocks diarrhea
Beans
Prevents constipation
Helps hemorrhoids
Lowers cholesterol
Combats cancer
Stabilizes blood sugar
Beets
Controls blood pressure
Combats cancer
Strengthens bones
Protects your heart
Aids weight loss
Blueberries
Combats cancer
Protects your heart
Stabilizes blood sugar
Boosts memory
Prevents constipation
Broccoli
Strengthens bones
Saves eyesight
Combats cancer
Protects your heart
Controls blood pressure
Cabbage
Combats cancer
Prevents constipation
Promotes weight loss
Protects your heart
Helps hemorrhoids
Cantaloupe
Saves eyesight
Controls blood pressure
Lowers cholesterol
Combats cancer
Supports immune system
Carrots
Saves eyesight
Protects your heart
Prevents constipation
Combats cancer
Promotes weight loss
Cauliflower
Protects against Prostate Cancer
Combats Breast Cancer
Strengthens bones
Banishes bruises
Guards against heart disease
Cherries
Protects your heart
Combats Cancer
Ends insomnia
Slows aging process
Shields against Alzheimer's
Chestnuts
Promotes weight loss
Protects your heart
Lowers cholesterol
Combats Cancer
Controls blood pressure
Chili peppers
Aids digestion
Soothes sore throat
Clears sinuses
Combats Cancer
Boosts immune system
Figs
Promotes weight loss
Helps stops strokes
Lowers cholesterol
Combats Cancer
Controls blood pressure
Fish
Protects your heart
Boosts memory
Protects your heart
Combats Cancer
Supports immune system
Flax
Aids digestion
Battles diabetes
Protects your heart
Improves mental health
Boosts immune system
Garlic
Lowers cholesterol
Controls blood pressure
Combats cancer
kills bacteria
Fights fungus
Grapefruit
Protects against heart attacks
Promotes Weight loss
Helps stops strokes
Combats Prostate Cancer
Lowers cholesterol
Grapes
saves eyesight
Conquers kidney stones
Combats cancer
Enhances blood flow
Protects your heart
Green tea
Combats cancer
Protects your heart
Helps stops strokes
Promotes Weight loss
Kills bacteria
Honey
Heals wounds
Aids digestion
Guards against ulcers
Increases energy
Fights allergies
Lemons
Combats cancer
Protects your heart
Controls blood pressure
Smoothes skin
Stops scurvy
Limes
Combats cancer
Protects your heart
Controls blood pressure
Smoothes skin
Stops scurvy
Mangoes
Combats cancer
Boosts memory
Regulates thyroid
aids digestion
Shields against Alzheimer's
Mushrooms
Controls blood pressure
Lowers cholesterol
Kills bacteria
Combats cancer
Strengthens bones
Oats
Lowers cholesterol
Combats cancer
Battles diabetes
prevents constipation
Smoothes skin
Olive oil
Protects your heart
Promotes Weight loss
Combats cancer
Battles diabetes
Smoothes skin
Onions
Reduce risk of heart attack
Combats cancer
Kills bacteria
Lowers cholesterol
Fights fungus
Oranges
Supports immune systems
Combats cancer
Protects your heart
Straightens respiration


Peaches
prevents constipation
Combats cancer
Helps stops strokes
aids digestion
Helps hemorrhoids
Peanuts
Protects against heart disease
Promotes Weight loss
Combats Prostate Cancer
Lowers cholesterol
Aggravates
Diverticulitis
Pineapple
Strengthens bones
Relieves colds
Aids digestion
Dissolves warts
Blocks diarrhea
Prunes
Slows aging process
prevents constipation
boosts memory
Lowers cholesterol
Protects against heart disease
Rice
Protects your heart
Battles diabetes
Conquers kidney stones
Combats cancer
Helps stops strokes
Strawberries
Combats cancer
Protects your heart
boosts memory
Calms stress


Sweet potatoes
Saves your eyesight
Lifts mood
Combats cancer
Strengthens bones


Tomatoes
Protects prostate
Combats cancer
Lowers cholesterol
Protects your heart


Walnuts
Lowers cholesterol
Combats cancer
boosts memory
Lifts mood
Protects against heart disease
Water
Promotes Weight loss
Combats cancer
Conquers kidney stones
Smoothes skin


Watermelon
Protects prostate
Promotes Weight loss
Lowers cholesterol
Helps stops strokes
Controls blood pressure
Wheat germ
Combats Colon Cancer
prevents constipation
Lowers cholesterol
Helps stops strokes
improves digestion
Wheat bran
Combats Colon Cancer
prevents constipation
Lowers cholesterol
Helps stops strokes
improves digestion
Yogurt
Guards against ulcers
Strengthens bones
Lowers cholesterol
Supports immune systems
Aids digestion

7 don'ts after a meal
* Don't smoke-Experiment from experts proves that smoking a cigarette after meal is comparable to smoking 10 cigarettes ( (chances of cancer are higher).
* Don't drink tea -
Because tea leaves contain a high content of acid. This substance will cause the Protein content in the food we consume to be hardened thus difficult to digest.

* Don't bathe -
Bathing will cause the increase of blood flow to the hands, legs & body thus the amount of blood around the stomach w ill therefore decrease. This will weaken the digestive system in our stomach.
*
Don't sleep immediately - The food we intake will not be able to digest properly. Thus will lead to gastric & infection in our intestine.



Ndodi anachosema ni tafsiri ya hayo hapo juu. Nawashangaa wanaomlaumu. Kwamba chakula sahihi ni kinga na tiba ya magonjwa mbalimbali, hakuna ubishi - its scientific
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…