Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,133
Jamani mwenye CV ya huyu bwana naomba anisaidie kuibandika hapa JF.
Nasikia ni Daktari, sijui kasomea wapi na amebobea kwenye tiba ya magonjwa yepi?
Nakubaliana nawe. Ndodi ni msheenzi na tapeli mkubwa. Anajineemesha kwa fedha za wagonjwa pasipo huruma. Dawa za ndodi huuzwa hadi Sh milioni mbili na wagonjwa wengi tu hawajapona. Utapeli wake upo mdomoni. Mwanaume gani wa kawaida anayeongea kama cherehani!!!!!!!Akili kumkichwa. Ni tapeli flani anayetumia udhaifu wa nafsi zetu kujitajirisha.
isack ndodi ndio mnyama gani ???
isack ndodi ndio mnyama gani ???
Huyu jamaa udaktari wake ni kama wa akina JK,Marehemu Remmy Ongala,Prof J nk...hajasoma popote ni ujanja ujanja tu..alianza kazi ya uijilisti kwenye kanisa la Wasabato kule Songea...na alikuwa ni mahiri kufundisha masomo ya afya kama yanavyofundishwa kwenye kanisa la wasabato..baadae akaamia DSM alipoinuka kuwa maarufu sana...mpaka sasa anafanya kazi kama muijilisti katika kanisa la wasabato Kurasini DSM....