Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Gaza haitusumbui, tumeikaliaa, Ile ni Gerezankwa magaidi.Gaynation tunawakumbusha tu vita ghaza bado inaendelea
Pole sana kijana hamas bado tunayo sana maana mshaanza kudai mazungumzo na magaidiGaza haitusumbui, tumeikaliaa, Ile ni Gerezankwa magaidi.
Njaaa itawachomoa tu
magaidi hayo hukimbilia matusi, wana jimama lao maarufu hujinasibu kuwa ni jimama la magaidiHabari iwafikie magaidi wote wa JF walojificha kwenye mwamvuli wa UISLAM.
Pole sana kijana hamas bado tunayo sana maana mshaanza kudai mazungumzo na magaidi
Hamas kama waliweza kukaa miezi mitatu na hawajafa njaa basi hata miaka saba wanakaa
Wewe ukiwa na akili inatosha mzayuni wa jfMbona dhaifu wa hoja wewe[emoji28] sasa sulubu ya miezi mitatu ni kipimo cha sulubu ya miaka 7? Magaidi hayanaga akili siku zote
Hawa Jamaa mpango wa kuwahamishia Uganda ungefaulu basi leo Jeshi la Kenya KDF lingekuwa ni magaidi, JWTZ wangekuwa Magaidi na Jeshi la Uganda UPDF lingekuwa ni Magaidi.Waisrael wenzangu, lile Gaidi namba mbili la HAMAS lilokua mafichoni Nchini Lebanon , limeuliwa Leo Mara baada ya Ndege vita isokua na Rubani kuingia anga la Beirut Lebanon na Kuachilia kombora ambalo limemuacha Gaidi akiwa vipande vipande.
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano.
Hii ndio Israel , Ulipo Tupo ππ
Tunamuwinda Mwenyekiti sasa !!.
Hizibollah mkijichanganya kulipa kisasi, tutaigeuza Lebanon kua Vumbi.
Yale mameli ya Wamarekan, yalikuja Kutusaidia Taarifa za alipo huyu Gaidi
View attachment 2860415
ππCc:Faiza FoxHabari iwafikie magaidi wote wa JF walojificha kwenye mwamvuli wa UISLAM.
Magaidi wa Israel ,wameua tena?Ili wakapakatwe na Abraham?Waisrael wenzangu, lile Gaidi namba mbili la HAMAS lilokua mafichoni Nchini Lebanon , limeuliwa Leo Mara baada ya Ndege vita isokua na Rubani kuingia anga la Beirut Lebanon na Kuachilia kombora ambalo limemuacha Gaidi akiwa vipande vipande.
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano.
Hii ndio Israel , Ulipo Tupo [emoji23][emoji23]
Tunamuwinda Mwenyekiti sasa !!.
Hizibollah mkijichanganya kulipa kisasi, tutaigeuza Lebanon kua Vumbi.
Yale mameli ya Wamarekan, yalikuja Kutusaidia Taarifa za alipo huyu Gaidi
View attachment 2860415
Haya maneno yenye hekima.Hili tatizo la kukatika kwa umeme ni zaidi ya hyo mizozo huko kwa wenzetu. Kwasababu wao kila mmoja anatetea ardhi yake na suala la kufa ni kawaida kwasababu kila mtu aliyezaliwa lazima afe.
Lakini mm kam mm huku kukatika kwa umeme kila siku na vyanzo vyote vya kupata umeme Mungu ametupatia naona ni tatizo kubwa sawa au kuzid hyo vita yanayopambana nayo wenzetu
Vipi FaizaFoxy jamani, bado hajapatikana tu? Israel mbona mnatuangusha wana JF na wapenda amani hapa duniani?Waisrael wenzangu, lile Gaidi namba mbili la HAMAS lilokua mafichoni Nchini Lebanon , limeuliwa Leo Mara baada ya Ndege vita isokua na Rubani kuingia anga la Beirut Lebanon na Kuachilia kombora ambalo limemuacha Gaidi akiwa vipande vipande.
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano.
Hii ndio Israel , Ulipo Tupo ππ
Tunamuwinda Mwenyekiti sasa !!.
Hizibollah mkijichanganya kulipa kisasi, tutaigeuza Lebanon kua Vumbi.
Yale mameli ya Wamarekan, yalikuja Kutusaidia Taarifa za alipo huyu Gaidi
View attachment 2860415
Taqbir.Habari iwafikie magaidi wote wa JF walojificha kwenye mwamvuli wa UISLAM.