Ishara ya Utajiri bongo ni pamoja na hii...

Leornado

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
1,529
Reaction score
198
Ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani...











 
Ndao zao bado ziko salama kabisa hii sampuli ya matajiri wa Bongo?
Hapa naona ugomvi kutwa mara tatu tu na mama watoto kama kumeza dawa, hamna kitu!!
 
Hawa jamaa wangepima afya zao naamini kabisa watakutwa na ugonjwa!!
 
Ungeweka na jinsia nyingine! Uchunguzi unaonyesha wao ndiyo wanavyo sana, therefore richer!!
 
uwe na tumbo hilo halafu na mkeo awe na ujauzito kweli mnaweza kukutana kimwili? :car:
 
Sipati picha sazi ya mishedede waliyonayo kama vibamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…