Wanajamii wa jukwaa hili, naombeni wenye utaalam mnipe muongozo katika hili. Mwaka juzi mwezi wa sita nilikuwa niki-experience kitu cha tofauti sana. Ilikuwa inatokea tu automatically ninakunja vidole viwili yaani dole gumba na kidole kinachofuatia baada ya dole gumba halafu vinabaki vidole vitatu vimesimama.
Tukio hili lilikuwa linatokea mara kwa mara kwa mikono yote miwili hadi siku ambayo mdogo wangu alifariki tukio hilo likakoma. Imekuwa sasa ni kawaida. Kila panapokuwepo na tukio lolote la kupoteza, ninakuwa na dalili hizi mapema. Ikishatokea, ni lazima nitapitia kwenye tukio lolote la kupoteza.
Jambo jingine ni mwili wote, kuna wakati usingizi unakuja ghafla na hudumu ndani ya dakika moja au mbili. Ikitokea hivi, safari yangu yoyote ile hugairishwa. Nini kipo nyuma ya dalili hizi? Msaada na maono yako ni muhimu sana. Natanguliza shukrani.
Tukio hili lilikuwa linatokea mara kwa mara kwa mikono yote miwili hadi siku ambayo mdogo wangu alifariki tukio hilo likakoma. Imekuwa sasa ni kawaida. Kila panapokuwepo na tukio lolote la kupoteza, ninakuwa na dalili hizi mapema. Ikishatokea, ni lazima nitapitia kwenye tukio lolote la kupoteza.
Jambo jingine ni mwili wote, kuna wakati usingizi unakuja ghafla na hudumu ndani ya dakika moja au mbili. Ikitokea hivi, safari yangu yoyote ile hugairishwa. Nini kipo nyuma ya dalili hizi? Msaada na maono yako ni muhimu sana. Natanguliza shukrani.