Princep
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 584
- 839
Dunia nzima hakuna ambaye ni mkamilifu asilimia 100% kwa maana hiyo kila mtu kwa nafasi yake anafanya makosa kwa bahati mbaya au kukusudia
Hivyo usitake kuwa mkamilifu kwa kuwa haiwezekani hata Kidogo
Kwa maana hiyo mtu yeyote ambaye anajitambua anajua kwamba kila mtu anayekutana nae kwenye maisha ana sifa kubwa mbili:
1. Uimara/Ubora wake (Their Strengths)
Hajazaliwa kwa bahati mbaya kwa kuwa ndani umebeba hadhina ya vipawa kwa maana una uwezo wa kipekee, ubora wa mtu ndio humfanya kuongeza thamani ya maisha yake kwa maana thamani yako
2. Madhaifu yake (Their Weakness)
Hupaswi kuwa na dharau na kuwasema wengine vibaya kisa tu ana madhaifu fulani Hata wewe una madhaifu yako kwa maana hiyo wewe unapaswa kuwa mtu wa kuchukuliana na watu wengine
Je unataka kuwa na Amani ya moyo na mwenye furaha?
Najua umesema ndio hahahaha!
Usijali kabisa ili uwe na amani wa moyo wako na mwenye furaha
Basi unapaswa kuwa mtu ambaye unasamehe watu wengine pasipo kujali:
1. Amekukosea kwa bahati mbaya
2. Amekukosea kwa makusudi
Wewe samehe sababu ukisamehe watu wengine inakusaidia kuondoa chuki, kisasi pamoja na kinyongo moyoni
Unaposamahe watu wengine ni faida kwako na kwa watu wengine....
..... kwa sababu utakuwa na Amani ya moyo huku una mahusiano mazuri na watu wengine
Je, wewe una tabia ya kusamehe watu wengine?
Kuwa mtu wa kusamehe watu wengine
Usiwe na dhana kwamba ukisamehe watu wengine wewe ni dhaifu sio kweli
Kwa maana kusamehe watu wengine ni ishara kuwa umepevuka na unajitambua wewe ni nani
Chukua nafasi hii leo kusamehe watu wengine kwenye maisha yako ili kuachilia mzigo mzito ndani ya moyo wako
Samehe kisha endelea na maisha yako
Ukisamehe Sio kwamba ni lazima uendelee ukaribu na watu wengine kwa sababu unasamehe kwa ustawi wako
Samehe walikukosa kama unataka kuwa na Amani na furaha ndani ya moyo wako
Samehe ili Mungu wa Mbinguni pia akusamehe makosa yako
Samehe kama unataka kuishi na watu wengine vizuri sehemu ambayo upo
Kutoa msamaha kwa walio kukosea pasipo kujali wamekuomba au laasha!
Je umesamehe wote walio kukosea?
Hivyo usitake kuwa mkamilifu kwa kuwa haiwezekani hata Kidogo
Kwa maana hiyo mtu yeyote ambaye anajitambua anajua kwamba kila mtu anayekutana nae kwenye maisha ana sifa kubwa mbili:
1. Uimara/Ubora wake (Their Strengths)
Hajazaliwa kwa bahati mbaya kwa kuwa ndani umebeba hadhina ya vipawa kwa maana una uwezo wa kipekee, ubora wa mtu ndio humfanya kuongeza thamani ya maisha yake kwa maana thamani yako
2. Madhaifu yake (Their Weakness)
Hupaswi kuwa na dharau na kuwasema wengine vibaya kisa tu ana madhaifu fulani Hata wewe una madhaifu yako kwa maana hiyo wewe unapaswa kuwa mtu wa kuchukuliana na watu wengine
Je unataka kuwa na Amani ya moyo na mwenye furaha?
Najua umesema ndio hahahaha!
Usijali kabisa ili uwe na amani wa moyo wako na mwenye furaha
Basi unapaswa kuwa mtu ambaye unasamehe watu wengine pasipo kujali:
1. Amekukosea kwa bahati mbaya
2. Amekukosea kwa makusudi
Wewe samehe sababu ukisamehe watu wengine inakusaidia kuondoa chuki, kisasi pamoja na kinyongo moyoni
Unaposamahe watu wengine ni faida kwako na kwa watu wengine....
..... kwa sababu utakuwa na Amani ya moyo huku una mahusiano mazuri na watu wengine
Je, wewe una tabia ya kusamehe watu wengine?
Kuwa mtu wa kusamehe watu wengine
Usiwe na dhana kwamba ukisamehe watu wengine wewe ni dhaifu sio kweli
Kwa maana kusamehe watu wengine ni ishara kuwa umepevuka na unajitambua wewe ni nani
Chukua nafasi hii leo kusamehe watu wengine kwenye maisha yako ili kuachilia mzigo mzito ndani ya moyo wako
Samehe kisha endelea na maisha yako
Ukisamehe Sio kwamba ni lazima uendelee ukaribu na watu wengine kwa sababu unasamehe kwa ustawi wako
Samehe walikukosa kama unataka kuwa na Amani na furaha ndani ya moyo wako
Samehe ili Mungu wa Mbinguni pia akusamehe makosa yako
Samehe kama unataka kuishi na watu wengine vizuri sehemu ambayo upo
Kutoa msamaha kwa walio kukosea pasipo kujali wamekuomba au laasha!
Je umesamehe wote walio kukosea?