Ishi na jamii tofauti ujue jinsi ya kuishi na watu vizuri. Vifo vitazidi kuongezeka Afrika Kusini sababu tunapeleka ushamba wetu kwao

Ishi na jamii tofauti ujue jinsi ya kuishi na watu vizuri. Vifo vitazidi kuongezeka Afrika Kusini sababu tunapeleka ushamba wetu kwao

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Tembea uone/ishi na watu au jamii tofauti ujifunze wabongo wengi au Watanzania kakulia kariakoo ndo hapo mpka mwisho wa tamati. Afu kila siku anaongea mambo yale yale.

👤 Watanzania asilimia kubwa ambao akili zao ni mgando wanachukua tabia zetu za mazoea na kuja nazo south Africa.

Uku Tanzania mtu anatumikishwa masaa kibao anakuja pewa pesa ndogo sana.. na Watanzania wanapokwenda south Africa wanakuja kwa lengo la kupiga kazi sawa ila wanasahau kuwa huku sio Tanzania.

Wasouth sio wavivu sema wako na utaratibu wao wa kufanya kazi wanajari afya na muda pia sisi wabongo hatujari chochote ilimradi pesa inapatikana. Kwanini sasa msouth asikuminye.

USHAURI: MKIJA KWENYE NCHI ZA WATU KUWA WAPOLE FUATA UTARATIBU USHAMBA ACHA UKU KWENYE NCHI YETU YENYE MAZUZU WENGI.
 
Tembea uone/ishi na watu au jamii tofauti ujifunze wabongo wengi au Watanzania kakulia kariakoo ndo hapo mpka mwisho wa tamati. Afu kila siku anaongea mambo yale yale.

[emoji185] Watanzania asilimia kubwa ambao akili zao ni mgando wanachukua tabia zetu za mazoea na kuja nazo south Africa.

Uku Tanzania mtu anatumikishwa masaa kibao anakuja pewa pesa ndogo sana.. na Watanzania wanapokwenda south Africa wanakuja kwa lengo la kupiga kazi sawa ila wanasahau kuwa huku sio Tanzania.

Wasouth sio wavivu sema wako na utaratibu wao wa kufanya kazi wanajari afya na muda pia sisi wabongo hatujari chochote ilimradi pesa inapatikana. Kwanini sasa msouth asikuminye.

USHAURI: MKIJA KWENYE NCHI ZA WATU KUWA WAPOLE FUATA UTARATIBU USHAMBA ACHA UKU KWENYE NCHI YETU YENYE MAZUZU WENGI.
Noted
 
Yaani baadhi ya Watanzania wakishaendaga South wanajionaga wamemaliza kila kitu,Inchi ambayo watu wanaingia bila paspoti, na wakatoka bila paspoti nayo utaisifiya kwa lipi? Labda uhalifu
 
Tembea uone/ishi na watu au jamii tofauti ujifunze wabongo wengi au Watanzania kakulia kariakoo ndo hapo mpka mwisho wa tamati. Afu kila siku anaongea mambo yale yale.

👤 Watanzania asilimia kubwa ambao akili zao ni mgando wanachukua tabia zetu za mazoea na kuja nazo south Africa.

Uku Tanzania mtu anatumikishwa masaa kibao anakuja pewa pesa ndogo sana.. na Watanzania wanapokwenda south Africa wanakuja kwa lengo la kupiga kazi sawa ila wanasahau kuwa huku sio Tanzania.

Wasouth sio wavivu sema wako na utaratibu wao wa kufanya kazi wanajari afya na muda pia sisi wabongo hatujari chochote ilimradi pesa inapatikana. Kwanini sasa msouth asikuminye.

USHAURI: MKIJA KWENYE NCHI ZA WATU KUWA WAPOLE FUATA UTARATIBU USHAMBA ACHA UKU KWENYE NCHI YETU YENYE MAZUZU WENGI.
🤣 🤣 🤣 mbona umechanganya sana madesa, uandishi gani huu??? mara wakienda South wafuate utaratibu wa wenyeji, mara sijui wasipige kazi kwa ujira mdogo, mara waangalie muda wa kazi na kupumzika. so which is which??? what's your main point here??? Nalemagha ghete ghete.
 
🤣 🤣 🤣 mbona umechanganya sana madesa, uandishi gani huu??? mara wakienda South wafuate utaratibu wa wenyeji, mara sijui wasipige kazi kwa ujira mdogo, mara waangalie muda wa kazi na kupumzika. so which is which??? what's your main point here??? Nalemagha ghete ghete.
Acha kukaza fuvu. Soma vizuri utaelewa kila kitu nimefafanua
 
Back
Top Bottom