Ishi na watu kwa akili binadamu tunasahau wema

Ishi na watu kwa akili binadamu tunasahau wema

RIGHT MARKER

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
129
Reaction score
473
Tunakukumbusha!
✍️Sisi ni marafiki zako tunaokupenda, lakini ukifilisika kamwe hatutopokea simu yako na hatutopenda kukuona machoni mwetu.

✍️Elewa sisi ni watu wako wa karibu sana, lakini ukifilisika hutoweza tena ku-view status zetu za WhatSapp.

✍️Ni kweli tunakupenda kama rafiki yetu na mdau wetu wa karibu, lakini ukifilisika hatutokunywa tena pombe na wewe.

✍️Amini tunayokwambia wewe ni rafiki yetu tunakupenda sana, lakini ukifilisika mpenzi wako atakuwa mpenzi wetu. Yaani shemeji yetu atakuwa shemeji yako.

✍️Tunaapa viapo vyote kuwa wewe ni rafiki yetu ambaye unatusaidia sana, lakini amini haya tunayokwambia kuwa ukifilisika hatukujui.

✍️Achana na hao ndugu zako twende tukale bata, maisha ni mafupi sana. Lakini hatukufichi ukifilisika rudi kwa hao ndugu zako.

👁️ Naam! Naamini ushaelewa ni kwa nini tunakupenda na kwanini tupo karibu na wewe. Ishi na watu kwa akili binadamu tunasahau wema - usiseme hatukukwambia.

RIGHT MARKER,
DAR ES SALAAM.
 
Tunakukumbusha!
✍️Sisi ni marafiki zako tunaokupenda, lakini ukifilisika kamwe hatutopokea simu yako na hatutopenda kukuona machoni mwetu.

✍️Elewa sisi ni watu wako wa karibu sana, lakini ukifilisika hutoweza tena ku-view status zetu za WhatSapp.

✍️Ni kweli tunakupenda kama rafiki yetu na mdau wetu wa karibu, lakini ukifilisika hatutokunywa tena pombe na wewe.

✍️Amini tunayokwambia wewe ni rafiki yetu tunakupenda sana, lakini ukifilisika mpenzi wako atakuwa mpenzi wetu. Yaani shemeji yetu atakuwa shemeji yako.

✍️Tunaapa viapo vyote kuwa wewe ni rafiki yetu ambaye unatusaidia sana, lakini amini haya tunayokwambia kuwa ukifilisika hatukujui.

✍️Achana na hao ndugu zako twende tukale bata, maisha ni mafupi sana. Lakini hatukufichi ukifilisika rudi kwa hao ndugu zako.

👁️ Naam! Naamini ushaelewa ni kwa nini tunakupenda na kwanini tupo karibu na wewe. Ishi na watu kwa akili binadamu tunasahau wema - usiseme hatukukwambia.

RIGHT MARKER,
DAR ES SALAAM.
Fanya juu chini uhakikishe HAUFILISIKI! Hakuna kitu kibaya kama kukamata pesa halafu uje ufilisike, ni bora usizipate kabisa.
 
Make someone smile every day,but never forget that you are someone too,
While spreading happiness like sunshine,don't forget to save a ray for yourself too.
 
Back
Top Bottom