ishi ukijua kuna watu watazeeka na kufa bila kujua wanataka nini

hahaha always done

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
1,126
Reaction score
1,973
kama kichwa cha habari hapo juu
1. ukiona umezaa na mwanamke watoto zaidi ya mmoja na bado unamuona hafai kumuoa jua hujajitambua

2. ukiona uko kwenye chama fulani halafu hupendi kinavoendaenda ila huwazi kutoka jua wewe bado kujitambua

3. ukiona umefika chuo kikuu na fani unayosomea hujui utakua nani baadae jua hujajitambua

4. ukiona unaichukia kazi uliyonayo na huku hutaki kujaribu kutafuta nyingine jua una tatizo tajwa

5.kama umeishi na mwenza wako miaka kibao alafu mna watoto wakubwa ndio unaenda kufunga ndoa(mfano at 50)jua hujajitambua

6. kuna marehemu amejinadi haamini uwepo wa mungu takriban miaka hamsini, ile anataka kufa ndio anasema amemjua mungu ,jua hata huko alikoenda ni hofu tu ila hakuwahi kujitambua

7.umehudhuria semina kibao za biashara na huna hata genge,we jua hujajitambua

8.ulipogundua mchungaji anatoka na mke wa mtu ukaamua kuhama kanisa,jua unaweza kufa hujajitambua

9.ukifika hoterini hujui ule nn mpaka uone jilan anakula nini ndio uige,jua bado wewe

10. ulivosoma sana kuajiriwa ikawa ndio target yako, hujajitambua

11.kuamini kila mwanamke anachukulika ukikomaa/mwanaume anategeka huku una baba ako na mama ako hawana hata mtoto wa nje na wanakwambia wana miaka hamsini ya ndoa na kondomu hazikuwepo,hujajitambua

jazia yako,
NB, kuna watu wamekufa hawajawahi jua duniani walikuja kufanya nini,na wengine wapo ,at their 60th hataki kuamini kwamba anazeeka,anacheza na wewe at 18years ,then anakuja kuzaa na mwanao wakati mna miaka 50, hawa watu hawajajitambua

plz mod, help me to take this thread to jamii chitchat
 
huwezi kuandika hotelini unaandika hoterini. Kama mtoa mada hapo juu na shule ulisoma jua BADO HUJAJITAMBUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…