LGE2024 Ishu za Serikali ya Mtaa ni Maji, Barabara, Zahanati n.k. Wapinzani ongeleeni hizo siyo kumtaja Magufuli, haitawasaidia

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni ushauri tu maana nawaona Viongozi wa Upinzani wanatumia Muda mwingi kulia na hayati Magufuli ambaye hayupo.

Watu wanataka kusikiliza mambo ya mama mboga, mabarabara, Maji, Zahanati nk na siyo Hadithi za Mwendazake Shujaa Magufuli.

Mlale Unono πŸ˜€
 
Ingekuwa mshindi anatokana na ubora sera, tusingeona hila za kujaza fomu.
 
CCM na vichekeshoo vyao vya kutuchekesha watanzagizaa.🀭
 
Ukiona mtu anakomalia kumlaumu Marehemu, kafilisika kichwani haoni pa kujifichia.
 
Kama mnazijua ni kero kwanini hamkutatua?
 
Na wewe mfuate huko aliko maana akiguswa tu unahamaki. Shetani mbona hashi kutajwa kwenye nyumba za ibada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…