Isije ikawa lengo la kuanzisha mchakato wa Katiba mpya lina mkono wa dini

Isije ikawa lengo la kuanzisha mchakato wa Katiba mpya lina mkono wa dini

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
Wakuu,
Tangu mchakato wa Katiba Mpya uanze kumrkuwa na maswali mengi kuliko majibu! Kwanza Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2005 haikuwa na kipengele cha Katiba Mpya bali ilikuwa na suala la MAHAKAMA YA KADHI ambalo lilileta mtafaruku mkubwa sana! Nahisi Wakristo walikosa imani na JK. Mwaka 2010 suala la KADHI liliondolewa na JK katika Hotuba yake katika Baraza la Iddi alisema kuwa suala la MAHAKAMA YA KADHI ni Ibada ya Waislamu na wanatakiwa waianzishe na kuigharamia wenyewe!

Cha kushangaza hatukuona reaction kubwa sana toka kwa Waislamu baada ya kauli hiyo ya JK! Ukiona kobe kainama ujue anatunga Sheria!

Mara ikafika tarehe 31 Oktoba 2010 tukamsikia JK ananguruma akilitangazia taifa juu ya Katiba Mpya!

Kabla ya hapo Mwanasheria Mkuu, Jaji Werema na Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani walishatuhakikishia kuwa "Katiba Mpya - NO!"

Kwa lugha nyingine ni kwamba, suala la Katiba Mpya halikujadiliwa kwenye Baraza la Mawaziri, otherwise wajumbe 2 wa Baraza hilo yaani Celina Kombani na Jaji Werema wasingejitokeza hadharani kutoa kauli za kupinga uwepo wa mchakato wa kutunga Katiba Mpya! Kumbuka kuwa kwa mujibu wa "Doctrine of Collective Responsibility" wajumbe wa Cabinet hawaruhusiwi kwenda kinyume na yale yaliyokubaliwa kwenye Cabinet, otherwise walitakiwa wajiuzulu!

Wengi walijiuliza kuwa wazo la kutunga Katiba Mpya nani alimpatia JK maana hata kwenye Chama halikujadiliwa!

Kiu ya baadhi ya wanasiasa ya kuona kuwa Tz inakuwa na Katiba Mpya ilifunika mashaka yote hayo! Wanasema kuwa ukweli ni ukweli tu hata kama umetoka kwa Shetani! Madam ni kweli baadhi ya wanasiasa walitaka Katiba Mpya haidhuru wazo lilitoka wapi, ni sawa tu kwao!

Sheria ilitungwa, Tume iliundwa. Ikakusanya maoni. Waislamu waliapa kuwa bila suala la KADHI kuingizwa kwenye Katiba Mpya hawatakubali!


Composition ya Tume nayo ilitia mashaka kuwa watu wa Dini fulani walikuwa wa "Kuitetea MAHAKAMA YA KADHI" kuliko kuipinga!

Hata hivyo Tume ya Warioba ilifunika kombe ili mwanaharamu apite! Walipiga chini mambo ya KADHI na surprisingly hatukuona reaction yoyote ya watu wa "DINI ILE!"

Sasa hivi tumeshuhudia mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge Maalum la Katiba juu ya suala la KADHI! Waislamu nao kwa sasa wamekuja juu wakidai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA!"

Cha kujiuliza ni je, huu mchakato ambao ulianza katika mazingira ya kutatanisha kumbe lengo lake ndio lilikuwa hili? JK mwenyewe wakati wa kulizindua Bunge Maalum la Katiba alisisitizia juu ya Makakama ya Kadhi kwenye Hotuba yake!

Watz wenye mapenzi mema na nchi yetu hawawezi kukubali masuala ya Dini kuchanganywa na yale ya Serikali!

Dunia ya sasa haikaliki kwa sababu ya Serikali za Nchi mbalimbali kukumbatia Imani za kidini!

Wewe fikiria huko Iraq na Syria zenye Waislamu wengi eti wanataka kuwa na Islamic state! Hayo mambo yalilelewa muda mrefu ndio tunaona matokeo yake. Hivyo hivyo huko Nigeria na kwingineko!

Huko Kenya nako watapata majanga makubwa hata kuliko ya Al Shaabab!

Waislamu ni ndugu zetu na tunawatakia mema katika Dini yao lakini wafanye mambo yao badala ya kutaka wasio Waislamu wachangie kueneza imani yao!

Otherwise, kama JK lengo lake lilikuwa ni kuwaridhisha watu wa Dini yake ambao kwa sasa wanadai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA" basi hiyo Katiba na hiyo Mahakama visiwepo maana ni afadhali Katiba ya sasa imetuweka katika hali ya amani muda wa nusu karne kuliko hii itakayoiangamiza nchi muda wa miaka 2 tu!
 
Jk amezoea anapoharibu silaha yake ni kuleta mambo ya udini ili avuke salama halafu anatafta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kwamba yeye hakuwa na maana hiyo
 
Halafu cha ajabu mahakama hiyo imepewa kipaumbele dhidi ya mahakama zote kama ile ya mwanzo,ya wilaya,hakimu mkazi mkoa,kulikoni? Ina unyeti upi? Yaani mbali na zile zilizoko kwenye katiba mfano mahakama kuu na ya rufaa,imewekwa na ya kadhi, dini yao ni daraja la kwanza inabidi iwe kwenye sheria namba moja ya nchi hii? Hao wajumbe wa bunge la katiba wamepata wapi weledi wa kupanga mfumo mzima wa mahakama ya kadhi kuanzia mwanzo mpaka rufaa? Na je uislamu unaruhusu mkristo awapangie jinsi mahakama ya kadhi itakavyokuwa? In other words,ibara za kwanza zinasema serikali haina dini,ibara ya chini serikali inaunda chombo cha kidini kuhudumia dini fulani, na watu wa dini hiyo wanaamini chombo hicho kinaeneza imani ya dini yao na kuiimarisha,hivi wachungaji na maaskofu nao wakiomba kwenye katiba viingizwe vipengele vya wao kuwaadhibu au kuwachukulia hatua waumini wanaokiuka imani yao itakuwaje? Kutakuwa na uhuru wa kuabudu,muislamu na mkristo wafate watakwa ya dini na imani zao kwa matakwa yao serikali isiwalazimish
 
Jk amezoea anapoharibu silaha yake ni kuleta mambo ya udini ili avuke salama halafu anatafta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kwamba yeye hakuwa na maana hiyo
Hii nadhani ndio silaha ya mwisho ya JK katika kujaribu kujikosha kwa Waislamu wenzake!
 
Wakuu,
Tangu mchakato wa Katiba Mpya uanze kumrkuwa na maswali mengi kuliko majibu! Kwanza Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2005 haikuwa na kipengele cha Katiba Mpya bali ilikuwa na suala la MAHAKAMA YA KADHI ambalo lilileta mtafaruku mkubwa sana! Nahisi Wakristo walikosa imani na JK. Mwaka 2010 suala la KADHI liliondolewa na JK katika Hotuba yake katika Baraza la Iddi alisema kuwa suala la MAHAKAMA YA KADHI ni Ibada ya Waislamu na wanatakiwa waianzishe na kuigharamia wenyewe!

Cha kushangaza hatukuona reaction kubwa sana toka kwa Waislamu baada ya kauli hiyo ya JK! Ukiona kobe kainama ujue anatunga Sheria!

Mara ikafika tarehe 31 Oktoba 2010 tukamsikia JK ananguruma akilitangazia taifa juu ya Katiba Mpya!

Kabla ya hapo Mwanasheria Mkuu, Jaji Werema na Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani walishatuhakikishia kuwa "Katiba Mpya - NO!"

Kwa lugha nyingine ni kwamba, suala la Katiba Mpya halikujadiliwa kwenye Baraza la Mawaziri, otherwise wajumbe 2 wa Baraza hilo yaani Celina Kombani na Jaji Werema wasingejitokeza hadharani kutoa kauli za kupinga uwepo wa mchakato wa kutunga Katiba Mpya! Kumbuka kuwa kwa mujibu wa "Doctrine of Collective Responsibility" wajumbe wa Cabinet hawaruhusiwi kwenda kinyume na yale yaliyokubaliwa kwenye Cabinet, otherwise walitakiwa wajiuzulu!

Wengi walijiuliza kuwa wazo la kutunga Katiba Mpya nani alimpatia JK maana hata kwenye Chama halikujadiliwa!

Kiu ya baadhi ya wanasiasa ya kuona kuwa Tz inakuwa na Katiba Mpya ilifunika mashaka yote hayo! Wanasema kuwa ukweli ni ukweli tu hata kama umetoka kwa Shetani! Madam ni kweli baadhi ya wanasiasa walitaka Katiba Mpya haidhuru wazo lilitoka wapi, ni sawa tu kwao!

Sheria ilitungwa, Tume iliundwa. Ikakusanya maoni. Waislamu waliapa kuwa bila suala la KADHI kuingizwa kwenye Katiba Mpya hawatakubali!


Composition ya Tume nayo ilitia mashaka kuwa watu wa Dini fulani walikuwa wa "Kuitetea MAHAKAMA YA KADHI" kuliko kuipinga!

Hata hivyo Tume ya Warioba ilifunika kombe ili mwanaharamu apite! Walipiga chini mambo ya KADHI na surprisingly hatukuona reaction yoyote ya watu wa "DINI ILE!"

Sasa hivi tumeshuhudia mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge Maalum la Katiba juu ya suala la KADHI! Waislamu nao kwa sasa wamekuja juu wakidai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA!"

Cha kujiuliza ni je, huu mchakato ambao ulianza katika mazingira ya kutatanisha kumbe lengo lake ndio lilikuwa hili? JK mwenyewe wakati wa kulizindua Bunge Maalum la Katiba alisisitizia juu ya Makakama ya Kadhi kwenye Hotuba yake!

Watz wenye mapenzi mema na nchi yetu hawawezi kukubali masuala ya Dini kuchanganywa na yale ya Serikali!

Dunia ya sasa haikaliki kwa sababu ya Serikali za Nchi mbalimbali kukumbatia Imani za kidini!

Wewe fikiria huko Iraq na Syria zenye Waislamu wengi eti wanataka kuwa na Islamic state! Hayo mambo yalilelewa muda mrefu ndio tunaona matokeo yake. Hivyo hivyo huko Nigeria na kwingineko!

Huko Kenya nako watapata majanga makubwa hata kuliko ya Al Shaabab!

Waislamu ni ndugu zetu na tunawatakia mema katika Dini yao lakini wafanye mambo yao badala ya kutaka wasio Waislamu wachangie kueneza imani yao!

Otherwise, kama JK lengo lake lilikuwa ni kuwaridhisha watu wa Dini yake ambao kwa sasa wanadai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA" basi hiyo Katiba na hiyo Mahakama visiwepo maana ni afadhali Katiba ya sasa imetuweka katika hali ya amani muda wa nusu karne kuliko hii itakayoiangamiza nchi muda wa miaka 2 tu!

Jk amezoea anapoharibu silaha yake ni kuleta mambo ya udini ili avuke salama halafu anatafta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kwamba yeye hakuwa na maana hiyo

Halafu cha ajabu mahakama hiyo imepewa kipaumbele dhidi ya mahakama zote kama ile ya mwanzo,ya wilaya,hakimu mkazi mkoa,kulikoni? Ina unyeti upi? Yaani mbali na zile zilizoko kwenye katiba mfano mahakama kuu na ya rufaa,imewekwa na ya kadhi, dini yao ni daraja la kwanza inabidi iwe kwenye sheria namba moja ya nchi hii? Hao wajumbe wa bunge la katiba wamepata wapi weledi wa kupanga mfumo mzima wa mahakama ya kadhi kuanzia mwanzo mpaka rufaa? Na je uislamu unaruhusu mkristo awapangie jinsi mahakama ya kadhi itakavyokuwa? In other words,ibara za kwanza zinasema serikali haina dini,ibara ya chini serikali inaunda chombo cha kidini kuhudumia dini fulani, na watu wa dini hiyo wanaamini chombo hicho kinaeneza imani ya dini yao na kuiimarisha,hivi wachungaji na maaskofu nao wakiomba kwenye katiba viingizwe vipengele vya wao kuwaadhibu au kuwachukulia hatua waumini wanaokiuka imani yao itakuwaje? Kutakuwa na uhuru wa kuabudu,muislamu na mkristo wafate watakwa ya dini na imani zao kwa matakwa yao serikali isiwalazimish

Hii nadhani ndio silaha ya mwisho ya JK katika kujaribu kujikosha kwa Waislamu wenzake!

Tena akampa Mchawi mtoto alee. Eeebwana weee! Ngoma inazidi kunoga. Bila Mhakama ya Kadhi, hakuna katiba Mpya.

View attachment 179916
 
Muswada wa kuanzisha Mahakama ya Kadhi ni indicator tosha kuwa lengo hasa halikuwa Katiba Mpya bali ni hiyo kitu ya kidini!
Walitaka kupeleka Muswada kwa hati ya dharura, thanks kwa wabunge waliosimama kidete kupinga hila hiyo chafu!
Sasa hivi suala la kura za maoni limesogezwa mbele sio kwa sababu ya muda mchache uliobaki au tu kwamba watu hawajaandikishwa kwenye hilo daftari la kudumu la wapiga kura bali ni kwa kuwa AJENDA KUU (MAHAKAMA YA KADHI) haijakaa vizuri!
Bado wanatafakari matamko ya akina Askofu Gwajima, Pengo, Mufti Simba, Jukwaa la Wakristo na wengineo ili waje na PLAN C!
Wasipoangalia wanamweka mgombea wao katika hali mbaya sana mwezi Oktoba, 2015 kama wataendeleza udini maana watu watapiga kura kwa mrengo wa kidini, huku Wakristo wakiona kwamba kumweka tena Mwislamu Ikulu ni shida! Maana makanisa yao yataendelea kuchomwa moto chini ya mtawala huyo mpya!
 
Wakuu,
Tangu mchakato wa Katiba Mpya uanze kumrkuwa na maswali mengi kuliko majibu! Kwanza Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2005 haikuwa na kipengele cha Katiba Mpya bali ilikuwa na suala la MAHAKAMA YA KADHI ambalo lilileta mtafaruku mkubwa sana! Nahisi Wakristo walikosa imani na JK. Mwaka 2010 suala la KADHI liliondolewa na JK katika Hotuba yake katika Baraza la Iddi alisema kuwa suala la MAHAKAMA YA KADHI ni Ibada ya Waislamu na wanatakiwa waianzishe na kuigharamia wenyewe!

Cha kushangaza hatukuona reaction kubwa sana toka kwa Waislamu baada ya kauli hiyo ya JK! Ukiona kobe kainama ujue anatunga Sheria!

Mara ikafika tarehe 31 Oktoba 2010 tukamsikia JK ananguruma akilitangazia taifa juu ya Katiba Mpya!

Kabla ya hapo Mwanasheria Mkuu, Jaji Werema na Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani walishatuhakikishia kuwa "Katiba Mpya - NO!"

Kwa lugha nyingine ni kwamba, suala la Katiba Mpya halikujadiliwa kwenye Baraza la Mawaziri, otherwise wajumbe 2 wa Baraza hilo yaani Celina Kombani na Jaji Werema wasingejitokeza hadharani kutoa kauli za kupinga uwepo wa mchakato wa kutunga Katiba Mpya! Kumbuka kuwa kwa mujibu wa "Doctrine of Collective Responsibility" wajumbe wa Cabinet hawaruhusiwi kwenda kinyume na yale yaliyokubaliwa kwenye Cabinet, otherwise walitakiwa wajiuzulu!

Wengi walijiuliza kuwa wazo la kutunga Katiba Mpya nani alimpatia JK maana hata kwenye Chama halikujadiliwa!

Kiu ya baadhi ya wanasiasa ya kuona kuwa Tz inakuwa na Katiba Mpya ilifunika mashaka yote hayo! Wanasema kuwa ukweli ni ukweli tu hata kama umetoka kwa Shetani! Madam ni kweli baadhi ya wanasiasa walitaka Katiba Mpya haidhuru wazo lilitoka wapi, ni sawa tu kwao!

Sheria ilitungwa, Tume iliundwa. Ikakusanya maoni. Waislamu waliapa kuwa bila suala la KADHI kuingizwa kwenye Katiba Mpya hawatakubali!


Composition ya Tume nayo ilitia mashaka kuwa watu wa Dini fulani walikuwa wa "Kuitetea MAHAKAMA YA KADHI" kuliko kuipinga!

Hata hivyo Tume ya Warioba ilifunika kombe ili mwanaharamu apite! Walipiga chini mambo ya KADHI na surprisingly hatukuona reaction yoyote ya watu wa "DINI ILE!"

Sasa hivi tumeshuhudia mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge Maalum la Katiba juu ya suala la KADHI! Waislamu nao kwa sasa wamekuja juu wakidai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA!"

Cha kujiuliza ni je, huu mchakato ambao ulianza katika mazingira ya kutatanisha kumbe lengo lake ndio lilikuwa hili? JK mwenyewe wakati wa kulizindua Bunge Maalum la Katiba alisisitizia juu ya Makakama ya Kadhi kwenye Hotuba yake!

Watz wenye mapenzi mema na nchi yetu hawawezi kukubali masuala ya Dini kuchanganywa na yale ya Serikali!

Dunia ya sasa haikaliki kwa sababu ya Serikali za Nchi mbalimbali kukumbatia Imani za kidini!

Wewe fikiria huko Iraq na Syria zenye Waislamu wengi eti wanataka kuwa na Islamic state! Hayo mambo yalilelewa muda mrefu ndio tunaona matokeo yake. Hivyo hivyo huko Nigeria na kwingineko!

Huko Kenya nako watapata majanga makubwa hata kuliko ya Al Shaabab!

Waislamu ni ndugu zetu na tunawatakia mema katika Dini yao lakini wafanye mambo yao badala ya kutaka wasio Waislamu wachangie kueneza imani yao!

Otherwise, kama JK lengo lake lilikuwa ni kuwaridhisha watu wa Dini yake ambao kwa sasa wanadai kuwa "BILA MAHAKAMA YA KADHI HAKUNA KATIBA MPYA" basi hiyo Katiba na hiyo Mahakama visiwepo maana ni afadhali Katiba ya sasa imetuweka katika hali ya amani muda wa nusu karne kuliko hii itakayoiangamiza nchi muda wa miaka 2 tu!

I think we should stop this stupidity....na tuanze kujenga nchi.....mbona tunataka kulipeleka taifa kubaya au buchanan hujivunii kuwa kwenye taifa lenye amani tuacheni mambo yanayoweza kuliletea taifa matabaka
 
Jk amezoea anapoharibu silaha yake ni kuleta mambo ya udini ili avuke salama halafu anatafta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kwamba yeye hakuwa na maana hiyo

ACHENI KUKIMBIZA VIVURI VYENU NA KULETA HISIA ZENU KUTUTAKA NA SISI TUSHIRIKI DHAMBI YENU HIYO KAENI NAYO WENYEWE NA MSOME KWA MAKINI KATIBA YETU YA 1977 na KATIBA INAYOPENDEKEZWA IBARA YA 41 MTAPATA MAJIBU.
 
Muswada wa kuanzisha Mahakama ya Kadhi ni indicator tosha kuwa lengo hasa halikuwa Katiba Mpya bali ni hiyo kitu ya kidini!
Walitaka kupeleka Muswada kwa hati ya dharura, thanks kwa wabunge waliosimama kidete kupinga hila hiyo chafu!
Sasa hivi suala la kura za maoni limesogezwa mbele sio kwa sababu ya muda mchache uliobaki au tu kwamba watu hawajaandikishwa kwenye hilo daftari la kudumu la wapiga kura bali ni kwa kuwa AJENDA KUU (MAHAKAMA YA KADHI) haijakaa vizuri!
Bado wanatafakari matamko ya akina Askofu Gwajima, Pengo, Mufti Simba, Jukwaa la Wakristo na wengineo ili waje na PLAN C!
Wasipoangalia wanamweka mgombea wao katika hali mbaya sana mwezi Oktoba, 2015 kama wataendeleza udini maana watu watapiga kura kwa mrengo wa kidini, huku Wakristo wakiona kwamba kumweka tena Mwislamu Ikulu ni shida! Maana makanisa yao yataendelea kuchomwa moto chini ya mtawala huyo mpya!


Hayo ni mawazo yako binafsi na si ya Rais maana tunafuatilia kwa makini taarifa za nchi yetu hilo sio lengo la Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya, usipotoshe watu na hisia zako.
 
Jk amezoea anapoharibu silaha yake ni kuleta mambo ya udini ili avuke salama halafu anatafta mbinu ya kuwadanganya wadanganyika kwamba yeye hakuwa na maana hiyo

Ustaarabu ni jambo dogo sana,kikubwa hapa ni kufuatilia ili kuchangia mambo sahihi na siyo kudanganya watu,aomba usijenge hisia kwa mambo usiyokuwa na uhakika nayo jifunze kufuatilia!!!
 
Back
Top Bottom