USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kwenye mbio za marathon kidunia huyu Eliud Kipchoge ndio GOAT anacho kila kitu anazo dhahabu,mshaba na fedha
Sio Olympic, commonwealth na kadhalika kote amepita na umri umemtupa mkono , kitendo cha kukomalia lazima akimbie mbele ya damu changa kimemtia aibu baada ya kuonekana hakuwa hata na nguvu achilia mbali kuonekana hakujiandaa kiufupi amefeli sana baada ya kuanguka njiani kushindwa hata kutembea na kuwaishwa kwa madaktari kwa tax za paris
USSR
Sio Olympic, commonwealth na kadhalika kote amepita na umri umemtupa mkono , kitendo cha kukomalia lazima akimbie mbele ya damu changa kimemtia aibu baada ya kuonekana hakuwa hata na nguvu achilia mbali kuonekana hakujiandaa kiufupi amefeli sana baada ya kuanguka njiani kushindwa hata kutembea na kuwaishwa kwa madaktari kwa tax za paris
USSR