Pamoja na kuwa Ndugai kawahakikishia kuwa atawalinda lkn ukiwaangalia machoni hawana amani kabisa mioyoni mwao, kwa vile ni vigumu kwao kurudi Chadema wanatamani aidha waache ubunge wawe raia wa kawaida au wajiunge CCM.
Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.
Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.