Isingekuwa Ubunge, Halima na wenzake 18 waliofutwa uanachama CHADEMA wangehamia CCM leo Aprili 30, 2021

Isingekuwa Ubunge, Halima na wenzake 18 waliofutwa uanachama CHADEMA wangehamia CCM leo Aprili 30, 2021

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Pamoja na kuwa Ndugai kawahakikishia kuwa atawalinda lkn ukiwaangalia machoni hawana amani kabisa mioyoni mwao, kwa vile ni vigumu kwao kurudi Chadema wanatamani aidha waache ubunge wawe raia wa kawaida au wajiunge CCM.

Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.
 
Kwa jinsi siasa za kiafrika zilivyo hasa kwa upande wa upinzani,iwapo nafasi za viti maalum ingekuwepo na kwa upande wa wanaume,hata lissu saa hizi angekua bungeni,wale wadada wanaonewa wivu tu but hata wanaume wapinzani wana akili kama zile nafasi tu hawajapata
 
Pamoja na kuwa Ndugai kawahakikishia kuwa atawalinda lkn ukiwaangalia machoni hawana amani kabisa mioyoni mwao, kwa vile ni vigumu kwao kurudi Chadema wanatamani aidha waache ubunge wawe raia wa kawaida au wajiunge CCM.

Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.
Possibly
 
Kwa jinsi siasa za kiafrika zilivyo hasa kwa upande wa upinzani,iwapo nafasi za viti maalum ingekuwepo na kwa upande wa wanaume,hata lissu saa hizi angekua bungeni,wale wadada wanaonewa wivu tu but hata wanaume wapinzani wana akili kama zile nafasi tu hawajapata
Lissu yupi? Hvi Lissu angehamia CCM unadhani asingekua waziri wa sheria kma kina Silinde au Waitara? Ndio aje kusettle kwa ajili ya viti maalum?

Mkuu watu wame sacrifice vitu vingi kubaki upinzani.... Hasara alizopewa Mbowe hta Sugu mpaka hoteli manusura ivunjwe ndio sembuse wajitoe ufahamu kisa kiti cha ubunge?

Tatizo lenu mnadhani CHADEMA ni kama ACT au NCCR...... Kma wangeendekeza njaa hiki chama kingeshakufa toka 2013
 
Mnawaza Siasa wenzenu wanawaza Maisha.
Mafanikio ya Kimaisha.
 
Hebu acha kuandika ujinga! Huyu ni ccm mbona hakupindisha maneno? Kwanini unaandika uongo? Kama kitu hujui kaa kimya au uliza ili ueleweshwe.

Kwa jinsi siasa za kiafrika zilivyo hasa kwa upande wa upinzani,iwapo nafasi za viti maalum ingekuwepo na kwa upande wa wanaume,hata lissu saa hizi angekua bungeni,wale wadada wanaonewa wivu tu but hata wanaume wapinzani wana akili kama zile nafasi tu hawajapata
 
Pamoja na kuwa Ndugai kawahakikishia kuwa atawalinda lkn ukiwaangalia machoni hawana amani kabisa mioyoni mwao, kwa vile ni vigumu kwao kurudi Chadema wanatamani aidha waache ubunge wawe raia wa kawaida au wajiunge CCM.

Tatizo kubwa linalowasumbua vichwani ni kupoteza ubunge wao, kungekuwa na kanuni kwamba unaweza kuhama chama lkn ukabaki na ubunge wako siku nyingi wangeshahamia CCM na leo wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa dharura wangepokewa CCM pamoja na Nyalandu.
Ila sio ubunge ni fedha haramu wanazolipwa na Ndugai.
Ni UFISADI wa kupitiliza.
 
Hao Covid hata kama sio wote basi baadhi yao naamini kuna watakao kimbilia CCM. Samia alisema kuna wengine wanafuata baada ya Nyalandu.
Kinyume chake mkuu, Mama ni muumini wa siasa shirikishi za kistaarabu na jana katamka hilo.Salama yao hao covd19 ni kuomba radhi na kumtupia lawama hayati kuwarubuni, kisha maisha yanasonga nyumbani CDM.
 
Hebu acha kuandika ujinga! Huyu ni ccm mbona hakupindisha maneno? Kwanini unaandika uongo? Kama kitu hujui kaa kimya au uliza ili ueleweshwe.

Kwani mimi nimekataa mkuu,nachosemea hiyo opportunity ingekua na kwa wanaume kwa hizi siasa za kiafrika,aibu tungeona mimi na wewe mkuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Lissu yupi? Hvi Lissu angehamia CCM unadhani asingekua waziri wa sheria kma kina Silinde au Waitara? Ndio aje kusettle kwa ajili ya viti maalum?

Mkuu watu wame sacrifice vitu vingi kubaki upinzani.... Hasara alizopewa Mbowe hta Sugu mpaka hoteli manusura ivunjwe ndio sembuse wajitoe ufahamu kisa kiti cha ubunge?

Tatizo lenu mnadhani CHADEMA ni kama ACT au NCCR...... Kma wangeendekeza njaa hiki chama kingeshakufa toka 2013
Huyu hamjui Lissu.
 
Hao Covid hata kama sio wote basi baadhi yao naamini kuna watakao kimbilia CCM. Samia alisema kuna wengine wanafuata baada ya Nyalandu.
Muda ndio utakaoamua.
 
Back
Top Bottom