Isingelikuwa ni wazee wao, akina Nape wangekuwa wapi kwa sasa?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Mzee Kikwete, Mzee Yusufu Makamba, na Mzee Kinana, naamini wana mchango mkubwa katika mafanikio ya kisiasa ya:
1. Nape Nnauye
2. January Makamba
3. Riziwani Kikwete

Hivi isingelikuwa hao wazee, watajwa wangekuwa wapi kwa sasa?

Wangekuwa juu sana kisiasa na kiuchumi?

Wangekuwa chini sana kisiasa na kiuchumi?

Wangekuwa kama walivyo leo kiuchumi, kisiasa na kiumaarufu?
 
Wewe wazee wako walikuwa wapi kipindi wazazi wa hao wanawawekea mazingira mazingira?
Tuache kulalamika
 
Na Tanganyika ingekua bado koloni.






Kazi ni kipimo cha UTU
 
Na Abduli huyo anaingia toka uajemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…