Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Katika mkoa wenye vivutio vingi vya kitalii basi ni mkoa wa Kilimanjaro.
Hii inatokana na uwepo wa mlima,ukiachilia mbali mlima huu kuwa kivutio,kuna mito inayotoka mlimani inayoteremka na baadae kuwa mto mmoja yani mto Pangani ambao unamwaga maji yake kwenye bahari ya Hindi.
Uwepo wa mito hiyo umetokeza maporomoko mengi sana ya maji (waterfalls) hasa Marangu.
Kwa sasa naomba kuitangazia dunia na serikali yetu eneo jipya kabisa la kitalii. Isiye waterfalls.
Maporomoko hayo yanapatikana kwenye mto Isiye amabayo yapo karibu na kijiji cha Uri kata ya Kibosho wilaya ya Moshi vijijini.
Sehemu hii bado ni mpya inahitaji maboresho mbalimbali ili watalii watapofika waweze kujionea,kupiga picha, kupumzika na kuoga pia.
Bonyeza hapa kuona kwenye ramani moja kwa moja Isiye Waterfall
Serikali kushirikiana na wananchi ni muhimu sana kuboresha ili kuweza kuliingizia taifa pesa na kwa wananchi watajenga migahawa, guest za wageni na maduka n.k ili kutoa huduma kwa watalii
kwa mdau wa maendeleo fanyeni kuingia Google map mkadirie(rate) na kucomment pamoja na kuongeza picha.
Hii inatokana na uwepo wa mlima,ukiachilia mbali mlima huu kuwa kivutio,kuna mito inayotoka mlimani inayoteremka na baadae kuwa mto mmoja yani mto Pangani ambao unamwaga maji yake kwenye bahari ya Hindi.
Uwepo wa mito hiyo umetokeza maporomoko mengi sana ya maji (waterfalls) hasa Marangu.
Kwa sasa naomba kuitangazia dunia na serikali yetu eneo jipya kabisa la kitalii. Isiye waterfalls.
Maporomoko hayo yanapatikana kwenye mto Isiye amabayo yapo karibu na kijiji cha Uri kata ya Kibosho wilaya ya Moshi vijijini.
Sehemu hii bado ni mpya inahitaji maboresho mbalimbali ili watalii watapofika waweze kujionea,kupiga picha, kupumzika na kuoga pia.
Bonyeza hapa kuona kwenye ramani moja kwa moja Isiye Waterfall
Serikali kushirikiana na wananchi ni muhimu sana kuboresha ili kuweza kuliingizia taifa pesa na kwa wananchi watajenga migahawa, guest za wageni na maduka n.k ili kutoa huduma kwa watalii
kwa mdau wa maendeleo fanyeni kuingia Google map mkadirie(rate) na kucomment pamoja na kuongeza picha.