ndio uwafate sasa wakuchukue waache kutesa raia hukoOooh kumbe, mbona Sasa wameenda kwingine
Haya ni masuala mtambuka kwakweli.Ni nani humu JF anafahamu kwanini Islam State wameivamia Msumbji atujuze. Je, Ni Islam State kweli wanaopigana au ni wananchi wa Msumbiji wenye madai yao kwa serikali yao lakini wakabandikwa jina la Islam State? Yaani Call the dog a bad name then hang it.
Shabaha yao ni Nini na nani na Nani?
Kabla majirani hatujajiingiza humo lazima kwanza tujiridhishe Ni mapigano yenye lengo gani, na je, Ni Islam State kweli?
Inawezekana maana...Kumbuka uchaguzi uliopita 70% ya wabunge ni upinzani kuna madiai Nyusi aliiba kura kuna mengi yamejificha
Haaaa kumbe?Kumbuka uchaguzi uliopita 70% ya wabunge ni upinzani kuna madiai Nyusi aliiba kura kuna mengi yamejificha
Uku kwetu wamestop uchakataji, wameamishia uwekezaji msumbiji. watakapo resume uchimbaji vurugu kama za KIBITI nazo watazirudisha tena....Mbona hata huku ipo, Tutie maji vichwa?
Mozambique ni nchi ya kiislam . nchi ya kiislam ikiongozwa na asiye Muslim unategemea nini?Mozambique na Congo hawana tofauti Wana laana ya maliasili kuwa nyingi na ujinga wa kutosha kutokujua Cha kuzifanyia....
Asilimia kubwa msumbiji ni wakristo siyo waislamMozambique ni nchi ya kiislam . nchi ya kiislam ikiongozwa na asiye Muslim unategemea nini?
Mozambique ni nchi ya kiislam . nchi ya kiislam ikiongozwa na asiye Muslim unategemea nini?Mozambique na Congo hawana tofauti Wana laana ya maliasili kuwa nyingi na ujinga wa kutosha kutokujua Cha kuzifanyia....
Nchi ilijiunga OIC zamani sana, tofautisha "NCHI" VZVZ" WANANCHI"Asilimia kubwa msumbiji ni wakristo siyo waislam
Hapo cabe Delgado ndio anatokea huyo rais nyusiKumbuka uchaguzi uliopita 70% ya wabunge ni upinzani kuna madiai Nyusi aliiba kura kuna mengi yamejificha