Islam State (IS) wanataka nini Msumbiji?

Huu uislam upo nchi gani,
 
Ndipo hapo baadhi ya watu wakaamua kuwa magaidi kweli baada ya kusingiziwa na kutokana na kusingiziwa huko wakapata na manyanyaso pia.
Sasa ukisingiziwa kuwa mwizi,na wewe kwa hasira ukaamua kuwa mwizi kweli,ukikamatwa na mali za watu unataka uitwe nani,
kama siyo mwizi? Huwezi kuwa malaya eti kisa umesingiziwa hicho kitu.inakuwa tabia ipo moyoni,ukigundua umefahamika unatoka mafichoni
unafanya hadharani.
 
Huna mpango wa kuelewa bali una mpango wa kubishana na kwa bahati mbaya sana sina muda huo, am sorry boss!

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 

Call them ISS, Islamic extremists or the likes; their aim is and the reason behind is:-
1. That; they want to expand their influence and presence from there and possibly beyond.
2. That; they want to establish a strong base that would facilitate (1).
3. That; Mozambique army seems to be weaker and this paves way for (2).
4. That the environment in Mozambique provides an easy means for Resources soo needed for financial and military gains and as well as mobilization as these favours (1) and (2)
 
It may be this or not. For sure I do not trust most African leaders. Tulivyopatana wakati tunadai Uhuru kutoka kwa wakoloni sio hivi wanavyotufanyia. Viongozi wa Africa hawataki kukosolewa, hawatendi haki, Ni ving'ang'anizi, wanautumia majeshi yetu kwa manufaa yao na watu wao.

They give their opponents bad names so that they can hang them.
 
Kwanini IS wateke maeneo ambayo Kuna gesi asilia na mataifa mengi km vile China America, Russia eamewekeza hapo?
Wanachofanya hao wamakonde wa eneo hilo hawana tofauti na walichofanya wamakonde wa Tanzania wakati gesi yao inapelekwa Dar es Salaam bila wao kufaidika. Na wanachokipata wamakonde wa Msumbiji hakitofautiani Sana na walichokipata wamakonde wa Tanzania kuhusu madai ya gesi yao. Malalamiko yao yanafanana Sana Kama sio ya aina moja.
 
Unataka kutuaminisha kuwa wamakonde wananyanyaswa hivyo wameamua kudai haki zao!?
 
Unataka kutuaminisha kuwa wamakonde wananyanyaswa hivyo wameamua kudai haki zao!?
 
Unataka kutuaminisha kuwa wamakonde wananyanyaswa hivyo wameamua kudai haki zao!?
Umesahau kile kipigo Cha mbwa mwizi walichopigwa kwa kudai gesi? Wamakonde walisahauliwa kwenye keki ya Taifa, ghafla gesi hiyoo!! Ilipogunduliwa wakadhani ahueni imepatikana, Mara wanaona mitaro inachimbwa ya kuipeleka gesi yote kwa wajanja dar.
 
Na hilo ndilo tatizo ambalo litapelekea vurugu kuingia huku TZ, jamii zile ni moja tu. Wamakonde wa msumbiji na Tz wote makatili kabisa ikitokea wanadai haki zao au wakihisi kuonewa. Serikali itazame kwa namna ya kipekee ili kuondoa hiyo kadhia.
 
Na hilo ndilo tatizo ambalo litapelekea vurugu kuingia huku TZ, jamii zile ni moja tu. Wamakonde wa msumbiji na Tz wote makatili kabisa ikitokea wanadai haki zao au wakihisi kuonewa. Serikali itazame kwa namna ya kipekee ili kuondoa hiyo kadhia.
Sasa nyie mnataka wafaidike vipi hao wamakonde?au gesi iuzwe alafu watu wagawiwe pesa?kwa sababu serikali imeshajenga miundombinu ya kusambaza gesi majumbani yaani kama maji tu .alafu huko mtwara viwanda vimeanza kujengwa?nyie mnataka wafaidike vipi?only relevant answers are needed.
 
Unataka kutuaminisha kuwa wamakonde wananyanyaswa hivyo wameamua kudai haki zao!?
Umesahau kile kipigo Cha mbwa mwizi walichopigwa kwa kudai gesi? Wamakonde walisahauliwa kwenye keki ya Taifa, ghafla gesi hiyoo!! Ilipogunduliwa wakadhani ahueni imepatikana, Mara wanaona mitaro inachimbwa ya kuipeleka gesi yote kwa wajanja dar.
vurugu zile halikuwa jambo jepesi kama unavyotangaza
 
Kwahiyo kwa upande wa ukristo mabeberu wanautumiaje ukristo?
 
Itasaidia nini? maana ishakaa vichwani mwa watu(hadi kwa baadhi ya waislamu wenyewe) kuwa gaidi lazima awe muislamu tu na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…