Islam State (IS) wanataka nini Msumbiji?

Ni kweli tusiwe wepesi wa kuhukumu kwa kile tukionacho kwa macho mawili
 
View attachment 1542429
Mtume mwenyewe anakuambia ameamriwa kupigana kwa upanga na kila mtu mpaka wakubali hakuna Mungu ispokuwa allah wewe ni nani hadi tukusikilize?
Huo ni uongo, mtu aliwaagiza waislam watafute elimu hata uchina huku akitambua kuwa huko uchina hakuna waislam. Hii inaonyesha kuwa Mtume Mohamed hakuwa na shida na makabila wala dini za watu wengine. Ila alikuwa na shida na watu wanaopinga dini ya kiislamu kwa kuzuia watu wasiiamini, kuibeza na kuzuia kuenea kwake. Mtu aliyezuia watu wasiabudu, aiamini na kuieneza alikutana na mkono wa chuma.
 
Vipi hatukuwaunga mkono wapelestina na kufunga uhusiano wetu wa kidiplomasia na Israel?
Wapalestina hawakuwa waislam?

Acheni kutetea maghaidi kwa mgongo wa dini.
Tanzania hajutujawahi kuwaita wapalestina Kama maghaidi hata siku mmoja.

Kifupi tangu vile vikundi vya kutangaza dini kutoka Pakistan vije Afrika Mashaariki na kusini kufanya mihadhara miaka ya tisini ndipo vikundi vingine vya muundo was Kibiti na Msumbiji vikaibuka na balozi za Marekani hapa Tanzania na Kenya zikalipuliwa, vikundi vingine vya kufundisha Martial Arts vikaanza Misikitini na vurugu za kugombana na kutengana misikiti waislam zikashamiri.

Hawaendi wakajiita Sunni wale Ismailia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…