SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 517
- 1,243
Ukimkuta wa hivyo kama yuko really kwenye dini, hakika uta enjoy sana, maana wanakuwaga soft sana unaweza ukakesha nae sio kama wale wanaoacha mipaka nje imekomaa kama mninga
Haki ya nani ,unashika paja gumu limekomaa, lina vipere vipere vingiii sababu ya kupigwa vumbi na baridi + moshi wa bodabodashida ni kile wanaume tunataka,hatuelewi.
unakuta unaacha ndani wa hivyo,unakwenda kuparamia papa ina sugu za mkorogo haieleweki.
Mnawalazimisha wengi hawayapendi..ni utumwa wa kukubaliana na imani za waarabu.Ndo mavazi ya heshima kwa mwanamke wa kiislamu,hayo mengine anayajua mwenye kuvaaa