Ismail Jussa asema bandari ya Malindi licha ya kuwa na muwekezaji lakini meli zinakaa hadi wiki 2 kusubiri kushusha mizigo

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Your browser is not able to display this video.

Ismail Jussa, makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar aneleza kuwa licha ya kuwepo kwa muwekezaji katika bandari ya Malindi lakini bado kuna changamoto katika kushusha mizizgo ambapo meli zinaweza kusubiri hadi wiki mbili ili kupata nafasi ya kushusha mizigo. Amesema jambo hilo lina athari kubwa husan katika kipindi hiki ambacho wananchi wanajiandaa kuelekea katika mfungo wa Ramadha.
 
Kwa hiyo nini hasa malengo ya kumleta huyo mwekezaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…