Ismail Jussa on Zanzibar

JK mnyamwzi lakin kila siku anafunga mikataba na nchi za kiarabu skuiz akienda Oman lazima amchukue yule mkalimani wake Sheikh Saleh Alitiwany mana kiarab hakipandi.,

Sometime ukiwa unaongea kitu forum kubwa kama hizi jaribu kufanya research kabla ya kuropokwa.
Kabila analotoka Kikwete unalijua?
 
huyu mjukuu wa sultani au mwingine?
 

tanzania huwa hatuwafukuzi,muungano ukivunjika tunakaa kimya halafu wapemba walioko bara tunawaandaa wakatawale zenj,ni kama joseph kabila,museveni na wengine ambao walitunzwa
 
tanzania huwa hatuwafukuzi,muungano ukivunjika tunakaa kimya halafu wapemba walioko bara tunawaandaa wakatawale zenj,ni kama joseph kabila,museveni na wengine ambao walitunzwa

hebu twambie Bara gani hilo, Ulaya au America, maana wapemba wapo sehemu nying dunia hii
 
Sometime ukiwa unaongea kitu forum kubwa kama hizi jaribu kufanya research kabla ya kuropokwa.
Kabila analotoka Kikwete unalijua?

haina haja kulijua, Watanganyika wote wanyamwezi..
 
Sometime ukiwa unaongea kitu forum kubwa kama hizi jaribu kufanya research kabla ya kuropokwa.
Kabila analotoka Kikwete unalijua?

sikumaanisha kabila nimemaanisha ni mtu kutoka bara kule kwetu mtu akitoka bara tunajua ni mnyamwezi tu ata akiwa na kabila la kiarabu
 
Reactions: SMU
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…