Ismail Jussa: Serikali ya Zanzibar inapata 30% tu ya faida kutoka kwa mwekezaji wa bandari ya Malindi

Ismail Jussa: Serikali ya Zanzibar inapata 30% tu ya faida kutoka kwa mwekezaji wa bandari ya Malindi

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida.



"Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na karatasi na badala yake anatumia kalamu na karatasi alizozikuta bandarini. Haya yanafanyika huku muwekezaji huyo ambaye hakuwekeza chochote analamba 70% ya faida na serikali kupitia kwa shirikala bandari la Zanzibar iliyofanya uwekezaji wote uliotajwa ikiambulia 30% tu ya faida" - Ismail Jussa
 
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida.
View attachment 3251677

"Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na karatasi na badala yake anatumia kalamu na karatasi alizozikuta bandarini. Haya yanafanyika huku muwekezaji huyo ambaye hakuwekeza chochote analamba 70% ya faida na serikali kupitia kwa shirikala bandari la Zanzibar iliyofanya uwekezaji wote uliotajwa ikiambulia 30% tu ya faida" - Ismail Jussa
Habari zingine ni za kuziepuka.
 
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida.
View attachment 3251677

"Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na karatasi na badala yake anatumia kalamu na karatasi alizozikuta bandarini. Haya yanafanyika huku muwekezaji huyo ambaye hakuwekeza chochote analamba 70% ya faida na serikali kupitia kwa shirikala bandari la Zanzibar iliyofanya uwekezaji wote uliotajwa ikiambulia 30% tu ya faida" - Ismail Jussa
Tatizo la Jussa elimu yake ni Madrasa hiyo.30 percent ni shilingi ngapi kwa sasa? Na je kabla ubinafsishaji serikali ilikuwa ikipata shilingi ngapi? Tuanzie hapo kwanza

Kichwa chake kibovu ubinafsishaji sio lazima mtu aje na chochote zaidi ya uwezo wake wa kusimamia kampuni anakuja kama Manager wa kampuni kuwekeza skills zake kwenye hiyo kampuni kuwa nitahakikisha mapato yanaenda juu na serikali inapata zaidi ya ilichokuwa inapata

Asilimia haxiongei kitu sana aweke kwa hela kabla na baada ya ubinafsishaji
 
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa ameeleza kuwa licha ya kuwa Serikali ya Zanzibar ilitoa kila kitu kwa muwekezaji na muwekezaji hakuja na chochote kile lakini serikali inapata 30% tu ya faida.
View attachment 3251677

"Waliopo bandarini wanasema muwekezaji huyu hakuleta hata kalamu na karatasi na badala yake anatumia kalamu na karatasi alizozikuta bandarini. Haya yanafanyika huku muwekezaji huyo ambaye hakuwekeza chochote analamba 70% ya faida na serikali kupitia kwa shirikala bandari la Zanzibar iliyofanya uwekezaji wote uliotajwa ikiambulia 30% tu ya faida" - Ismail Jussa
Mwekezaji ni Mwinyi
 
Jussa na tundu lissu hawapendi kuwepo na utulivu kama hajatokea wakulipa 70% asipewe aliekaribia hata kwenye selection za kielimu kama 80%or 60% hawakufikia qualified wanakuwa 30, 40%
 
Tatizo la Jussa elimu yake ni Madrasa hiyo.30 percent ni shilingi ngapi kwa sasa? Na je kabla ubinafsishaji serikali ilikuwa ikipata shilingi ngapi? Tuanzie hapo kwanza

Kichwa chake kibovu ubinafsishaji sio lazima mtu aje na chochote zaidi ya uwezo wake wa kusimamia kampuni anakuja kama Manager wa kampuni kuwekeza skills zake kwenye hiyo kampuni kuwa nitahakikisha mapato yanaenda juu na serikali inapata zaidi ya ilichokuwa inapata

Asilimia haxiongei kitu sana aweke kwa hela kabla na baada ya ubinafsishaji
Operating costs ziko kwa mwekezaji yawezekana kabisa operating costs ni kati ya 20% na 40%.
 
Operating costs ziko kwa mwekezaji yawezekana kabisa operating costs ni kati ya 20% na 40%.
Wanasiasa wengi upinzani kwenye kuchambua takwimu wako zero ni kama ma roboti tu hawezi hata fuatllia kiundani why nk

Yeye anawaza tu akiangalia kichwa hewani kuwa mbona mwekezaji hatujaona akileta mitambo mipya bla bla bla nyingii!!!!

Kuongelea tu ohh asilimia 30 hajui kwamba kuielezea yaweza chukua masaa
Sababu hayo mambo ni business and investments calculations ambazo Jusa kichwa cheupee

Upinzani Tanzania bado sana kupata watu wenye akili na makini

Jussa hamna kitu kichwani
 
Back
Top Bottom