said reuben
Member
- Dec 22, 2018
- 62
- 28
Nilienda hospital nikaambiwa ninatatizo la kwenye moyo yani left hypertrophy nikapewa dawa hapo juu ila tangu nianze kuzitumia ni kweli mguu wa kushoto ulikua unauma sana kabla now hauumi ila kwenye kifua napata maumivu makali dsain ya moto ya hama hama kushoto na kulia ya kifua na kichwa kinauma nataka kujua niache kutumia au nifanyaje