Israel hawana cha kutuambia kuhusu Hizbullah

Israel hawana cha kutuambia kuhusu Hizbullah

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ni wazi kuwa kitisho cha kupigana na Hizbullah ana kwa ana upande wa Israel wamekiona na wameamua waufyate tu.

Inavyoonekana Hizbullah hawajafikiria kwamba vita bado havijaanza rasmi na ndio maana wanarusha makombora ya katyusha mpaka 200 kwa siku ambayo yanapiga kambi za jeshi la Israel kaskazini yote na kuchoma moto maeneo ya misitu na majumba.

Wanachofanya Israel ni kuzima moto na hawakanushi ya kuwa wamepigwa na makombora yamepenya bila kudakwa na Iron Dome.

Hali hiyo inatokea wakati ambapo makundi mengi hasimu ya Israel kama vile Taliban na mengine mengi yameshatangaza kupeleka vikosi vyao Lebanon kuiunga mkono Hizbullah.

Wakati huo huo hayo yanatokea wakati Marekani inakaribia uchaguzi hapo mwezi Novemba na haipendelea vita baina ya Israel na Hamas viendelee mpaka wakati huo wala kulazimikia kutumia gharama kubwa kuilinda Israel baada ya kufanya hivyo kwa muda wa miezi 9 bila mafanikio huko Gaza.
 
Israel chunguzeni sana akianza yeye kupigana vita huwa ananza kwa speed kali sana kwa kutumia ndege za kivita.

Nchi za kiarabu haswa hizi Jordan, Egypt, Saud Arabia, UAE, Baharain na Jordan husikii wakiongea au kulalamika anauwa civilian au kufanya genocide,wanakaa kimya.

Wanaona hapo Israel ana nguvu, hata wauwe wavunje majumba, hospital, shule, masajid, au kukatia maji na umeme pamoja na kuwafungia chakula wa Palestine husikii hata siku moja, hizo nchi zinawatetea wa Palestine exactly kama US, UK, France, Germany na nchi nyingi za Western.


Wakiona Israel kanza sa kupigika yuko hatarini, hao warabu wanafiki watajidai wanapeleka vyakula au wanalalamika, eti vita visimamishwe, na wako tayari kupeleka majeshi yao Gaza hahaha.

Kwanini wanataka kupeleka wanajeshi wao Gaza, sabubu Israel hana tena uwezo wa kubaki Gaza wao wanata wakamllnde

Kuhusu huko Lebanon nilisha sema Israel ataishia hio kurusha maboom kwa kutumia ndege, mizinga au missiles, haweza kuvamia Lebanon.

Anafahumu wazi huo ndio utakuwa mwisho wake.

We huoni siku hizi Israel kanza kutisha tatumia Nuclear, toka lini Israel alikiri ana Nuclear, lakini kipigo alicho pigwa huko Gaza kimemchangan'ya.

Israel wameanza kutisha tutaipiga Gaza kwa Nuclear, au tutaipiga Lebanon kwa Nuclear au silaha ambazo hatujawahi kuzitumia hahaha, kuna silaha gani Israel bado hajatumia bado, labda hio Nuclear.

Au tutaipiga Iran kwa Nuclear, hizo kelele ujuwe kazidiwa hana jinsi, ndio aingie Full war na Hezbullah, hio sahau kabisa.

Kajiribu kupapasa huko Lebanon kaona moto si wakawaida, ataishia mawili ama ajitose motoni au akwepe moto na mimi naona atakwepa moto.
 
Screenshot_20240412-132717.png
 
Hawezi.Wapenzi wa Israel wakina Imeloa na Mzee Kigogo wameona ukweli.
Kweli kwamba magaidi Hezbollah wanapelekewa moto mbaya sana.
Halafu myahudi ana deal na wale makamanda wakuu tu.
Tangu Oct 7 ameua viongozi wa ugaidi zaidi ya 20
 
Kweli kwamba magaidi Hezbollah wanapelekewa moto mbaya sana.
Halafu myahudi ana deal na wale makamanda wakuu tu.
Tangu Oct 7 ameua viongozi wa ugaidi zaidi ya 20
Mbinu ya kuua viongozi haijafanya kazi hata siku moja.Vijana wadogo miaka hii ni wataalamu mno wa kurusha droni na makombora wakati mwengine bila kungojea amri kutoka juu.
baada ya kuchoshwa Gaza sasa Israel anamalizwa Lebanon
 
Ni wazi kuwa kitisho cha kupigana na Hizbullah ana kwa ana upande wa Israel wamekiona na wameamua waufyate tu.

Inavyoonekana Hizbullah hawajafikiria kwamba vita bado havijaanza rasmi na ndio maana wanarusha makombora ya katyusha mpaka 200 kwa siku ambayo yanapiga kambi za jeshi la Israel kaskazini yote na kuchoma moto maeneo ya misitu na majumba.

Wanachofanya Israel ni kuzima moto na hawakanushi ya kuwa wamepigwa na makombora yamepenya bila kudakwa na Iron Dome.

Hali hiyo inatokea wakati ambapo makundi mengi hasimu ya Israel kama vile Taliban na mengine mengi yameshatangaza kupeleka vikosi vyao Lebanon kuiunga mkono Hizbullah

Wakati huo huo hayo yanatokea wakati Marekani inakaribia uchaguzi hapo mwezi Novemba na haipendelea vita baina ya Israel na Hamas viendelee mpaka wakati huo wala kulazimikia kutumia gharama kubwa kuilinda Israel baada ya kufanya hivyo kwa muda wa miezi 9 bila mafanikio huko Gaza.
Slisikika akisema shekhe ubwabwa..
 
Bila kujali vitisho vya Israel baada ya watoto 12 kufariki huko Majdal Shams maeneo ya Gollan,Hizbullah wanaendelea kuvurumisha makombora ndani ya Israel,
Leo wameilenga kambi nyengine ya jeshi na kuua askari mmoja.
 
Ni wazi kuwa kitisho cha kupigana na Hizbullah ana kwa ana upande wa Israel wamekiona na wameamua waufyate tu.

Inavyoonekana Hizbullah hawajafikiria kwamba vita bado havijaanza rasmi na ndio maana wanarusha makombora ya katyusha mpaka 200 kwa siku ambayo yanapiga kambi za jeshi la Israel kaskazini yote na kuchoma moto maeneo ya misitu na majumba.

Wanachofanya Israel ni kuzima moto na hawakanushi ya kuwa wamepigwa na makombora yamepenya bila kudakwa na Iron Dome.

Hali hiyo inatokea wakati ambapo makundi mengi hasimu ya Israel kama vile Taliban na mengine mengi yameshatangaza kupeleka vikosi vyao Lebanon kuiunga mkono Hizbullah.

Wakati huo huo hayo yanatokea wakati Marekani inakaribia uchaguzi hapo mwezi Novemba na haipendelea vita baina ya Israel na Hamas viendelee mpaka wakati huo wala kulazimikia kutumia gharama kubwa kuilinda Israel baada ya kufanya hivyo kwa muda wa miezi 9 bila mafanikio huko Gaza.
Tayar huko Beirut Moto unawaka....
 
Back
Top Bottom