Israel ina-target zaidi maadui zake ili kupunguza casualities za raia wa kawaida. Rais wa Iran na kiongozi wa Hamas ni mifano

Israel ina-target zaidi maadui zake ili kupunguza casualities za raia wa kawaida. Rais wa Iran na kiongozi wa Hamas ni mifano

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Vikundi vya kigaidi kama Hamas hutumia raia wa kawaida kina mama na watoto kuwa ngao ili kuipa Israel wakati mgumu kwenye mashambulizi tofauti na wao wakipata hata nafasi ndogo ya kuingia Israel kama October 7 walilenga zaidi kuua raia yeyote lengo likiwa kuua waisrael wengi kadri iwezekanavyo, ni kawaida Hamas kurusha roketi elf 5 ndani ya usiku moja lakini unajua ni nini kitatokea Israel ikijibu kwa kurusha hata roketi 500 kulenga makazi ya watu Gaza ? wapalestina si chini ya laki 5 watapoteza maisha.

Mifano hai tunazidi kuendelea kuiona, Rais wa Iran alikuwa ni mfadhili mkubwa wa mashambulizi dhidi ya israel indirectly kupitia Hamas, Hezbulah, n.k. kilichomkuta alituguliwa juu kwa juu kwa teknolojia ambayo hadi sasa haijajulikana, Hii yote ni kupunguza civilian casualities, hakukuwa na haja ya kuilipiua ikulu ya Iran ama msafara wa rais.

Hii leo tena kiongozi wa Hamas katunguliwa na mlinzi wake kwa teknolojia ambazo hadi sasa hazijulikani, wameishia kufanya makadirio tu, , hakukuwa na haja kumvizia kiongozi wa Hamas akiwa kwenye sherehe kuanza kumwaga risasi.
 
Waarabu na ndugu zao wakubali tu kuwa mayahudi wamewazidi ujanja toka kale hivyo waache kuwachokonoa na waanze kuishi nao pamoja kwa upendo.
Hamas walikiri wenyewe kurusha roketi elf 5 kuelekea israel na waarabu walisherekea sana hili tukio

Israel ikijibu kurusha roketi hata 500 bila mpangilio kuelekea Gaza si chini ya raia laki 5 wanapotea
 
Kwa mwendo huu sasa Israel ataheshimika wenye akili walishakubali mapema kama misri,na saudia wamebaki vichwa ngumu
 
Vikundi vya kigaidi kama Hamas hutumia raia wa kawaida kina mama na watoto kuwa ngao ili kuipa Israel wakati mgumu kwenye mashambulizi tofauti na wao wakipata hata nafasi ndogo ya kuingia Israel kama October 7 walilenga zaidi kuua raia yeyote lengo likiwa kuua waisrael wengi kadri iwezekanavyo, ni kawaida Hamas kurusha roketi elf 5 ndani ya usiku moja lakini unajua ni nini kitatokea Israel ikijibu kwa kurusha hata roketi 500 kulenga makazi ya watu Gaza ? wapalestina si chini ya laki 5 watapoteza maisha.

Mifano hai tunazidi kuendelea kuiona, Rais wa Iran alikuwa ni mfadhili mkubwa wa mashambulizi dhidi ya israel indirectly kupitia Hamas, Hezbulah, n.k. kilichomkuta alituguliwa juu kwa juu kwa teknolojia ambayo hadi sasa haijajulikana, Hii yote ni kupunguza civilian casualities, hakukuwa na haja ya kuilipiua ikulu ya Iran ama msafara wa rais.

Hii leo tena kiongozi wa Hamas katunguliwa na mlinzi wake kwa teknolojia ambazo hadi sasa hazijulikani, wameishia kufanya makadirio tu, , hakukuwa na haja kumvizia kiongozi wa Hamas akiwa kwenye sherehe kuanza kumwaga risasi.
Subiri waje wako msikitini
 
Vikundi vya kigaidi kama Hamas hutumia raia wa kawaida kina mama na watoto kuwa ngao ili kuipa Israel wakati mgumu kwenye mashambulizi tofauti na wao wakipata hata nafasi ndogo ya kuingia Israel kama October 7 walilenga zaidi kuua raia yeyote lengo likiwa kuua waisrael wengi kadri iwezekanavyo, ni kawaida Hamas kurusha roketi elf 5 ndani ya usiku moja lakini unajua ni nini kitatokea Israel ikijibu kwa kurusha hata roketi 500 kulenga makazi ya watu Gaza ? wapalestina si chini ya laki 5 watapoteza maisha.

Mifano hai tunazidi kuendelea kuiona, Rais wa Iran alikuwa ni mfadhili mkubwa wa mashambulizi dhidi ya israel indirectly kupitia Hamas, Hezbulah, n.k. kilichomkuta alituguliwa juu kwa juu kwa teknolojia ambayo hadi sasa haijajulikana, Hii yote ni kupunguza civilian casualities, hakukuwa na haja ya kuilipiua ikulu ya Iran ama msafara wa rais.

Hii leo tena kiongozi wa Hamas katunguliwa na mlinzi wake kwa teknolojia ambazo hadi sasa hazijulikani, wameishia kufanya makadirio tu, , hakukuwa na haja kumvizia kiongozi wa Hamas akiwa kwenye sherehe kuanza kumwaga risasi.
Hawa wafia dini hawataki kuelewa Israel sio ya kuchezewa wanaamini siku moja Allah atawasaidia cha ajabu Allah hajawahi kuwasaidia hata kavita kamoja kumshinda myahudi
 
Back
Top Bottom