Israel inalazimisha vita vipiganwe na Syria huku wakiwabembeleza Hamas waongeze muda wa kusitisha mapambano

Israel inalazimisha vita vipiganwe na Syria huku wakiwabembeleza Hamas waongeze muda wa kusitisha mapambano

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Pamoja na kwamba mshirika wake,Mmarekani hayuko vizuri kuendelea kumsaidia lakini bado Israel haijachoka kuchokoza majirani zake na bado inajiamini kuwa ina mpango bora wa kupata ushindi dhidi ya hatari ya kuzidiwa nguvu.

Baada ya muda wa kusitisha vita huko Gaza kuisha hapo juzi Israel imelalamikia msimamo wa Hamas kwamba wameonesha dalili za kukataa kuendeleza mapatano kwa hatua ya pili iliyopangwa katika makubaliano ya awali.

Hamas kwa upande wao wameona ni vyema kutoendelea na hatua ya pili kwani kwa hesabu zao Israel imekiuka mkataba wa mwanzo kwa takriban mara 200. Kubwa zaidi wamekataa kuondoka kusini ya Gaza na wamesitisha malori ya misaada kuendelea kuingia Gaza.

Hali wakati ni tete kiasi hicho Benjamin Netanyahu na waziri wake wa ulinzi wameviambia vikosi vya jeshi lao vijitayarishe kushika maeneo ya kusini ya mji mkuu wa Damascus kwa kusingizia cha kwenda kuwalinda waSyria wa jamii ya Druze.

Uchokozi huo wa wazi wa Israel unafuatia baada ya kendelea kuikalia milima ya Golan baada ya kuvunja azimia la UN iliyoka eneo la mpaka wa Syria na Israel kama eneo lisilotakiwa kuwepo majeshi ya upande wowote.

Kwa kujiongezea maadui na kujiamini mno Israel inaamini kupigana na kila mtu basi ndio kuwashinda maadui zake wao hao ijapokuwa hilo lina kila dalili za kuwanoa zaidi maadui hao wanaomzunguka kila upande.
 
Israel inalazimisha vita vipiganwe

Hamas kwa upande wao wameona ni vyema kutoendelea na hatua ya pili kwani kwa hesabu zao Israel imekiuka mkataba wa mwanzo kwa takriban mara 200. Kubwa zaidi wamekataa kuondoka kusini ya Gaza na wamesitisha malori ya misaada kuendelea kuingia Gaza.
Naona unajichanganya. Unasema Israel wanalazimisha vita vipiganwe, halafu unakuja kukiri kuwa Hamas wamekataa mpango wa pili wa amani.

Sasa tuchukue lipi, ni Israel au Hamas wanaotaka vita iendelee?
 
Hiv kati ya marekan na Israel nani bwana wa mwenzie
 
Pamoja na kwamba mshirika wake,Mmarekani hayuko vizuri kuendelea kumsaidia lakini bado Israel haijachoka kuchokoza majirani zake na bado inajiamini kuwa ina mpango bora wa kupata ushindi dhidi ya hatari ya kuzidiwa nguvu.

Baada ya muda wa kusitisha vita huko Gaza kuisha hapo juzi Israel imelalamikia msimamo wa Hamas kwamba wameonesha dalili za kukataa kuendeleza mapatano kwa hatua ya pili iliyopangwa katika makubaliano ya awali.

Hamas kwa upande wao wameona ni vyema kutoendelea na hatua ya pili kwani kwa hesabu zao Israel imekiuka mkataba wa mwanzo kwa takriban mara 200. Kubwa zaidi wamekataa kuondoka kusini ya Gaza na wamesitisha malori ya misaada kuendelea kuingia Gaza.

Hali wakati ni tete kiasi hicho Benjamin Netanyahu na waziri wake wa ulinzi wameviambia vikosi vya jeshi lao vijitayarishe kushika maeneo ya kusini ya mji mkuu wa Damascus kwa kusingizia cha kwenda kuwalinda waSyria wa jamii ya Druze.

Uchokozi huo wa wazi wa Israel unafuatia baada ya kendelea kuikalia milima ya Golan baada ya kuvunja azimia la UN iliyoka eneo la mpaka wa Syria na Israel kama eneo lisilotakiwa kuwepo majeshi ya upande wowote.

Kwa kujiongezea maadui na kujiamini mno Israel inaamini kupigana na kila mtu basi ndio kuwashinda maadui zake wao hao ijapokuwa hilo lina kila dalili za kuwanoa zaidi maadui hao wanaomzunguka kila upande.
Propaganda uchwara hizo unazozifanya!! Kichwa cha habari yako hakiendani na uliyoyaandika ni uongo uliopitiliza Israel haijawahi kuwabembeleza magaidi kwa njia yoyote ili na inachokifanya huko Syria ni kuziba mianya ya magaidi kupata silaha kutoka kwa Bwana wao Iran na si vinginevyo.
Umedai pia kuwa mshirika wake Marekani hayuko tayari kuisaidia Marekani huo ni uongo wewe wadanganye wajinga na wapumbavu kama wewe tu. Lakini ujue uhusiano wa Marekani na Israel uko imara kuliko jana!!
Umeongelea pia kuhusu Israel kukiuka mashariki ya mkataba wa kusitisha mapigano mara 200 huo ni ujinga unaokusumbua wala huoni udhalilishwaji wa mateka uliokuwa unafanywa na magaidi hao kwa kuwaweka kwenye majukwaa na kuwalazimisha kutabasamu mbele ya kamera na kuwapungia mkono magaidi waliokuwa kwenye uwanja huo, mbaya zaidi walianza na kuwahoji wakiwa jukwaani. Huo ni udhalilishaji wa mateka kitu ambacho hakiwezi kukubalika. Na ndiyo maana wamesitisha misafara ya Maroli yote kwenda kwa wakimbizi wa kudumu huko Gaza.
Jitahidi sana kutoa taarifa za kweli na wala si kutoa taarifa za uongo ili tu Jonek and umewakumbatia magaidi wa Hamas.
 
Wamelaaniwa hao. Kamwe hawataijua amani, mpaka siku watakapopokea kichapo cha kufa mtu.
Hivi Nyie wafuga midevu na Majini ni nani aliyewaroga? Aliyelaaniwa hapo ni nani ni waarabu au Israel ambayo inashusha kipondo kila siku kwao? Tumia akili yako vizuri Israel hawajalaaniwa bali waarabu ndiyo wamelaaniwa. Hapo uliopitiliza wewe mwenyewe unatumia mitandao ambayo imebuniwa na wayahudi harafu ulivyo Huna akili unasema Israel wamelaaniwa. Nafikiri mnajidanganya sana huko kwenye misikiti yenu!!!!
 

Attachments

  • IMG_0071.jpeg
    IMG_0071.jpeg
    148.3 KB · Views: 2
Hivi Nyie wafuga midevu na Majini ni nani aliyewaroga? Aliyelaaniwa hapo ni nani ni waarabu au Israel ambayo inashusha kipondo kila siku kwao? Tumia akili yako vizuri Israel hawajalaaniwa bali waarabu ndiyo wamelaaniwa. Hapo uliopitiliza wewe mwenyewe unatumia mitandao ambayo imebuniwa na wayahudi harafu ulivyo Huna akili unasema Israel wamelaaniwa. Nafikiri mnajidanganya sana huko kwenye misikiti yenu!!!!

Kuuawa na watu madhalimu haimaanishi umelaaniwa bali aliyelaaniwa ni huyo mwenye roho ya Kaini.
 
Naona unajichanganya. Unasema Israel wanalazimisha vita vipiganwe, halafu unakuja kukiri kuwa Hamas wamekataa mpango wa pili wa amani.

Sasa tuchukue lipi, ni Israel au Hamas wanaotaka vita iendelee?
Na wewe umechanganya mambo.Tumezungumzia Syria na Hamas ambayo ni Palestina.
Syria wanalazimisha vianze lakini Palestina eneo la Gaza wanalazimisha viendelee.Sijui wanajiamini kiasi gani katika dunia hii ambayo kila mmoja ana akili kama mwenzake.
 
Walioua manabii wa Mungu huwajui?
Wanajitoa Mhanga na kuua watu wasio na hatia wewe hawajui? Jana kuna jamaa mwenye ya hiyo kavamia Mzee kachoma visu shingoni na kumuua kweli wafuga Midevu na Majini wana roho ya Kaini na shetani mwenyewe
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1741011300492.mp4
    3.7 MB
Wanajitoa Mhanga na kuua watu wasio na hatia wewe hawajui? Jana kuna jamaa mwenye ya hiyo kavamia Mzee kachoma visu shingoni na kumuua kweli wafuga Midevu na Majini wana roho ya Kaini na shetani mwenyewe

Wanafadhiliwa na USAID ya marekani hao, au hujasikia kwenye congress ya marekani hilo likisanuliwa?
 
Back
Top Bottom