jonathan2018
Member
- Oct 21, 2018
- 11
- 10
ki biblia, Israel ni nchi ya ahadi waliopewa waisrail. hivyo ni nchi ambayo haikuwa yao apo mwanzo..
je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya utumwa kwa sasa inakaliwa na watu gani....
Naomba kujuzwa na wanaofahamu hili..
je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya utumwa kwa sasa inakaliwa na watu gani....
Naomba kujuzwa na wanaofahamu hili..