jonathan2018
Member
- Oct 21, 2018
- 11
- 10
soma bibilia mkuu utaelewa kila kitu, ukiwa na swali au kitu ambacho hutaelewa niuliza nitakupa majibu plski biblia, Israel ni nchi ya ahadi waliopewa waisrail. hivyo ni nchi ambayo haikuwa yao apo mwanzo..
je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya utumwa kwa sasa inakaliwa na watu gani....
Naomba kujuzwa na wanaofahamu hili..
Mkuu nitasummarise tu.... Abraham alikuwa anaishi huko Ur katika nchi ya mesopotamia ila baada ya vuta nkuvute na mfalme Nimrod /Amraphel mwisho wa akahamia nchi inaitwa canaan (Israel ya sasa) ambayo iliitwa canaana sababu ndipo waliishi mjukuu wa Nuhu aliyeitwa canaan na vikapita vizazi na mjukuu wake aliitwa Yakobo nickname yake akaitwa Israel na ndipo nchi walioishi ikachukua hilo jina. Baadae hao waisrael walienda utumwani huko misri kwa miaka 400 hivyo watoto wa Canaan sasa kina Amori,Hivi,Hiti,yebusi,amaleki,Rapha n.k waliishi huko hivyo waisrael waliporudi walikuta tayari sehemu kubwa ya hiyo ardhi ya canaan inakaliwa na hayo makabila ya watoto wa canaan.ki biblia, Israel ni nchi ya ahadi waliopewa waisrail. hivyo ni nchi ambayo haikuwa yao apo mwanzo..
je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya utumwa kwa sasa inakaliwa na watu gani....
Naomba kujuzwa na wanaofahamu hili..
zitto junior jibu lako ni muafaka na funga kaziNB: Israel sio nchi ya ahadi kwa Israel pekee bali ni nchi aliyoahidiwa Abraham na Mungu wake na wote tunafahamu Abraham alikuwa baba wa mataifa mengi ila kama kawaida ujanja ujanja wa Yakobo akaiba uzao wa kwanza na kujipa umiliki huo na hata baraka za Abraham akajimilikisha hivyo tusiseme nchi yao ya ahadi bali nchi aliyoahidiwa ABRAHAM.
Ni hayo tu
Judea = JodanMkuu nitasummarise tu.... Abraham alikuwa anaishi huko Ur katika nchi ya mesopotamia ila baada ya vuta nkuvute na mfalme Nimrod /Amraphel mwisho wa akahamia nchi inaitwa canaan (Israel ya sasa) ambayo iliitwa canaana sababu ndipo waliishi mjukuu wa Nuhu aliyeitwa canaan na vikapita vizazi na mjukuu wake aliitwa Yakobo nickname yake akaitwa Israel na ndipo nchi walioishi ikachukua hilo jina. Baadae hao waisrael walienda utumwani huko misri kwa miaka 400 hivyo watoto wa Canaan sasa kina Amori,Hivi,Hiti,yebusi,amaleki,Rapha n.k waliishi huko hivyo waisrael waliporudi walikuta tayari sehemu kubwa ya hiyo ardhi ya canaan inakaliwa na hayo makabila ya watoto wa canaan.
Hivyo vita ikapiganwa kwa miaka kadhaa kati ya hao waisrael vs canaanites na mwisho wa siku canaan wakaporwa ardhi yao na wakakimbilia ilipo gaza ya sasa huko palestina hivyo kubadilisha jina la nchi hiyo kutoka kuitwa CANAAN hadi kuitwa ISRAEL/JUDEA and the rest is history.
NB: Israel sio nchi ya ahadi kwa Israel pekee bali ni nchi aliyoahidiwa Abraham na Mungu wake na wote tunafahamu Abraham alikuwa baba wa mataifa mengi ila kama kawaida ujanja ujanja wa Yakobo akaiba uzao wa kwanza na kujipa umiliki huo na hata baraka za Abraham akajimilikisha hivyo tusiseme nchi yao ya ahadi bali nchi aliyoahidiwa ABRAHAM.
Ni hayo tu
Kwani wewe ukimjibu unapungukiwa nini? Au unahisi hajaiyona biblia?Kasome Biblia, majibu yote yapo
Akisoma ni vizuri zaidi, kuliko kusubiri second hand answers, kama mimi niliweza kusoma yeye anashindwa vipiKwani wewe ukimjibu unapungukiwa nini? Au unahisi hajaiyona biblia?
Sawa mkuu nimekuelewa tupo pamojaAkisoma ni vizuri zaidi, kuliko kusubiri second hand answers, kama mimi niliweza kusoma yeye anashindwa vipi
Hasa kilichowatoa kaanani kuja Misri ni njaa, kwa kweli usifanye mchezo na njaa , haina baunsa mkuu, kuna ndugu yao mmoja alikuwa na fursa misri ndio aliwavuta ndugu zake wote kuja kustiri matumbo misri, lakini kama unavyojua uongozi ni kupokezana vijiti, sasa mda ukaenda akaja kiongozi mwengine mithili ya jiwe huyo aelewi aliwafanya kama vijakazi mkuu walikuwa dhariri kweli kweliki biblia, Israel ni nchi ya ahadi waliopewa waisrail. hivyo ni nchi ambayo haikuwa yao apo mwanzo..
je, kabla ya kuwa utumwani nchini misri. hawa waisrael walikuwa wanaishi nchi gani.. na je, wamisri waliwatekaje hawa jamaa adi kuwafanya wawe watumwa wao.. na hiyo nchi yao ya zamani kabla ya utumwa kwa sasa inakaliwa na watu gani....
Naomba kujuzwa na wanaofahamu hili..
kwa mujibu wa biblia hao wanaitwa waisraeli walikuwa utumwani misri
lakini kihistoria hakuna rekodi yoyte ya wao kuwa misri utumwani,HAIPO
😀😀 dah nmecheka sana hii comment.... Mkuu u've made my nightHasa kilichowatoa kaanani kuja Misri ni njaa, kwa kweli usifanye mchezo na njaa , haina baunsa mkuu, kuna ndugu yao mmoja alikuwa na fursa misri ndio aliwavuta ndugu zake wote kuja kustiri matumbo misri, lakini kama unavyojua uongozi ni kupokezana vijiti, sasa mda ukaenda akaja kiongozi mwengine mithili ya jiwe huyo aelewi aliwafanya kama vijakazi mkuu walikuwa dhariri kweli kweli
story ya wayahudi kuwepo utumwani ni fabricated storyMkuu hebu fafanua hapo. Kama sijapaelewa