The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Beki mwenye uwezo na sifa za kuwa sehemu ya kikosi cha Simba SC, Israel Mwenda (21) sasa ni rasmi kuwa ni mchezaji wa mabingwa wa nchi [emoji881]
Karibu Mwenda. Wanasimba tunaamini utaitendea haki jezi ya Simba. #NguvuMoja
Karibu Mwenda. Wanasimba tunaamini utaitendea haki jezi ya Simba. #NguvuMoja