The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Duchu amesajiliwa kwa mkopo Geita GoldShomari, Duchu na sasa Mwenda.
Mmoja atafute pa kukimbilia.
π π πShomari, Duchu na sasa Mwenda.
Mmoja atafute pa kukimbilia.
Karibu benchi Israel MwendaBeki mwenye uwezo na sifa za kuwa sehemu ya kikosi cha Simba SC, Israel Mwenda (21) sasa ni rasmi kuwa ni mchezaji wa mabingwa wa nchi [emoji881]
Karibu Mwenda. Wanasimba tunaamini utaitendea haki jezi ya Simba. #NguvuMoja
Kipaji hiki kinaenda kufa kama akina Gadiel Michael walivyo kufa.,.Karibu benchi Israel Mwenda
Kibwana na Job wamepata nafasi baada ya kukosekana wachezaji wenye uwezo mkubwa kwenye nafasi zao. Djuma Shaban na Litombo wamefika tusubiri tuone kesho ya hawa madogo japo naona wakienda kusugua benchi kupisha hao mapro waliokuja.Ni mchezaji mzuri! Mimi ni mmoja wa mashabiki wake. Dogo ana kipaji kikubwa sana cha kucheza mpira.
Nitafarijika kuona anapewa nafasi ya kucheza kama ilivyo kwa wenzake akina Kibwana Shomari na Dickson Job kule Yanga.
mkuu mbona muda wote unakenua tu,vipiπ π π
Tulia,tulia,tulia mtani,ukitingishika sindano itakatikia ndani.Simba wana tamaa kama baba yao Walace Karie. Sasa hapo kuna tofauti gani kati ya Duchu & Mwenda?
Acheni Ujinga na Utopolo wenu wa Kipumbavu.Kipaji hiki kinaenda kufa kama akina Gadiel Michael walivyo kufa.,.
Acheni Ujinga na Utopolo wenu wa Kipumbavu.
Yuko wapi ELIUD AMBOKILE mfungaji bora toka MBEYA CITY aliyeeenda TP MAZEMBE.
Yuko wapi HABIBU KIYOMBO mchezaji Mahiri toka MBAO FC aliyeeenda MAMELOD SUNDOWNS.
Hao na wengine weeeeengi wooote walitakiwa na simba Mazwazwa wachache wakawadanganya ooooh mtaua Vipaji pale Simba. Sasa huko Mazembe na Mamelodi walikoenda kikowapi???
Tutajie mchezaji mzawa yeyote aliyetoka nje ya Nchi pasipokupita Simba na leo anacheza Ligi kubwa?
Anyway siwez endelea kumjibu kilaza asiyejua kudadavua soka kikubwa tambua kwamba Wasihini Wachezaji wenye ndoto za kucheza Nje ya Nchi wapite kwanza SIMBA SC ili waonekane na Mawakala wa Njeee. Otherwise wataishia kupanda TATA BUS
Sasa unataka tofaut zipi wakati ushasema duchu na mwendaSimba wana tamaa kama baba yao Walace Karie. Sasa hapo kuna tofauti gani kati ya Duchu & Mwenda?
Msuva bado yuko Ligi Nyeusi usitishe watu hapaMsuva anakuchekiii afu anasema hiiiiiii
wydad anasugua bench na hii dirisha anaachwa au huna habariMsuva anakuchekiii afu anasema hiiiiiii