SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
We dogo una vielement vya kutojitambua au labda unajichukulia poa kiasi kwamba timu nazo zinakuchukulia poa.
Umeingia anga za usajili wa kimhemko wa Yanga ambao siku hizi wanasajili wachezaji ili kuikomoa Simba.
Huko ulipokwenda umekuta mambo hayaeleweki, timu haiwezi kusajili ina madeni mengi kama ya serikali. Ungekuwa na manager anayejitambua angeuliza hilo kwanza kabla haujatia saini.
Wamekupa mkataba wa miezi 6 ila hakuna mashindano utacheza maana haupo katika usajili rasmi wa NBC wala CAF. Baada ya miezi 6, kiwango chako kitakuwaje?
Soma Pia: Beki wa zamani wa Simba SC, Israel Mwenda atua Yanga kwa Mkopo akitokea Singida Big Stars
Mwisho wa msimu hao Yanga watakutupa maana lengo halikuwa kukusajili bali kukuharibia ili Simba isikurudishe. Picha la Baleke linaenda kukurudia wewe.
Pole sana. Binafsi niliona ulifaa kuwa mbadala sahihi wa Kapombe ila ndiyo hivyo haukuwa na subra.
PS. Kama vipi na wewe unga tela nenda zako FIFA kajikusanyie maokoto.
Umeingia anga za usajili wa kimhemko wa Yanga ambao siku hizi wanasajili wachezaji ili kuikomoa Simba.
Huko ulipokwenda umekuta mambo hayaeleweki, timu haiwezi kusajili ina madeni mengi kama ya serikali. Ungekuwa na manager anayejitambua angeuliza hilo kwanza kabla haujatia saini.
Wamekupa mkataba wa miezi 6 ila hakuna mashindano utacheza maana haupo katika usajili rasmi wa NBC wala CAF. Baada ya miezi 6, kiwango chako kitakuwaje?
Soma Pia: Beki wa zamani wa Simba SC, Israel Mwenda atua Yanga kwa Mkopo akitokea Singida Big Stars
Mwisho wa msimu hao Yanga watakutupa maana lengo halikuwa kukusajili bali kukuharibia ili Simba isikurudishe. Picha la Baleke linaenda kukurudia wewe.
Pole sana. Binafsi niliona ulifaa kuwa mbadala sahihi wa Kapombe ila ndiyo hivyo haukuwa na subra.
PS. Kama vipi na wewe unga tela nenda zako FIFA kajikusanyie maokoto.