ISRAEL Vs PALESTINE

Shusa luck

Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
52
Reaction score
121
Niwazi kwamba Israel haina uwezo wakupambana na Palestine kutokana na kuishiwa mbinu za kivita, Israel imekuwa ikitegemea msaada Kutoka Mataifa Kama USA na UK, hivyo baada ya USA kuyumba kiuchumi imepelekea ata Israel kukosa nguvu za kuikabili Palestine
 
Sio kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…