Israel yasema italipa kisasi kwa Iran kwa namna ya kushangaza

Israel yasema italipa kisasi kwa Iran kwa namna ya kushangaza

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa.

Kuhusu kuiadhibu Iran kwa shambulio hilo, bwana Yoav amesema kuwa shambulio la Israel litakuwa la nguvu, lenye usahihi, na zaidi ya yote, litakalowashangaza. Iran hawataelewa kilichotokea na kimetokea kwa namna gani.

Hawa wayahudi sijui watatumia nini!! Kutamba kwa namna hii siyo bure, lazima hawa wayahudi kuna kitu wana uhakika wa kukifanya.

Habari yenyewe, kwa kiingereza, hii hapa:

"Speaking on Wednesday, Israel’s Minister of Defense Yoav Gallant said the recent Iranian attacks on Israel had been “aggressive” but ultimately “failed” since no military assets were damaged.

On the prospect of Israeli retaliation, Gallant said: “Our strike will be powerful, precise, and above all – surprising. They will not understand what happened and how it happened."

 
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa.

Kuhusu kuiadhibu Iran kwa shambulio hilo, bwana Yoav amesema kuwa shambulio la Israel litakuwa la nguvu, lenye usahihi, na zaidi ya yote, litakalowashangaza. Iran hawataelewa kilichotokea na kimetokea kwa namna gani.

Hawa wayahudi sijui watatumia nini!! Kutamba kwa namna hii siyo bure, lazima hawa wayahudi kuna kitu wana uhakika wa kukifanya.

Habari yenyewe, kwa kiingereza, hii hapa:

"Speaking on Wednesday, Israel’s Minister of Defense Yoav Gallant said the recent Iranian attacks on Israel had been “aggressive” but ultimately “failed” since no military assets were damaged.

On the prospect of Israeli retaliation, Gallant said: “Our strike will be powerful, precise, and above all – surprising. They will not understand what happened and how it happened."

Si wafanye chapchap tuheshimiane. Wairan wa mbagala tunautaka kwelikweli
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa.

Kuhusu kuiadhibu Iran kwa shambulio hilo, bwana Yoav amesema kuwa shambulio la Israel litakuwa la nguvu, lenye usahihi, na zaidi ya yote, litakalowashangaza. Iran hawataelewa kilichotokea na kimetokea kwa namna gani.

Hawa wayahudi sijui watatumia nini!! Kutamba kwa namna hii siyo bure, lazima hawa wayahudi kuna kitu wana uhakika wa kukifanya.

Habari yenyewe, kwa kiingereza, hii hapa:

"Speaking on Wednesday, Israel’s Minister of Defense Yoav Gallant said the recent Iranian attacks on Israel had been “aggressive” but ultimately “failed” since no military assets were damaged.

On the prospect of Israeli retaliation, Gallant said: “Our strike will be powerful, precise, and above all – surprising. They will not understand what happened and how it happened."

Wawapasue tu hao magodfather wa ugaidi duniani hasa huyo Ayatollah wamle kichwa fasta.
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa.

Kuhusu kuiadhibu Iran kwa shambulio hilo, bwana Yoav amesema kuwa shambulio la Israel litakuwa la nguvu, lenye usahihi, na zaidi ya yote, litakalowashangaza. Iran hawataelewa kilichotokea na kimetokea kwa namna gani.

Hawa wayahudi sijui watatumia nini!! Kutamba kwa namna hii siyo bure, lazima hawa wayahudi kuna kitu wana uhakika wa kukifanya.

Habari yenyewe, kwa kiingereza, hii hapa:

"Speaking on Wednesday, Israel’s Minister of Defense Yoav Gallant said the recent Iranian attacks on Israel had been “aggressive” but ultimately “failed” since no military assets were damaged.

On the prospect of Israeli retaliation, Gallant said: “Our strike will be powerful, precise, and above all – surprising. They will not understand what happened and how it happened."

Sasa kwa wairan wasiopenda haya mavita yanagonga pichu maana hilo shambulizi ndo watajua hawajui.
 
Sawa ngoja tusubiri.
WAyahudi wana ujasiri wa pekee. Maana hata pale unapofikiria hawawezi kufanya, wao wanatenda, tena kwa kujiamini.

Wakati wanapigana na Hamas, huku Hezbollah wakiwarushia makombora ya hapa na pale, wengi walisema Wayahudi wasingethubutu kupigana moja kwa mpja na Hezbollah kwa vile Hezbollah ina nguvu sana kijeshi, na kuwa ingekuwa ni ngumu kwa Israel kupambana na Hamas, Hezibollah na Houthi, kwa wakati mmoja. Kilichotokea ndiyo hiki tushuhudiacho: Hamas wanaendelea kupigwa, Hezibollah wanapigwa, Houthi nao wamepata pigo la onyo.

Watu wakadai kuwa Israel haiwezi kuthubutu kupigana vita vya ardhini, lakini sasa wameingia, na baadhi ya maeneo, Hezbollah wamekimbia na kuziacha silaha na majengo yao. Wameua makamanda wa Iran, Hamas na Hezbollah, kwa namna ambazo hazikuwahi kufikiriwa.

Sioni kama mashambulizi ya Hamas, Hezbollah na Iran, yana nafasi hata ndogo sana ya kuwapatia wanachokihitaji. Wangekuwa na hekima wangetafuta kwa namna nyingine. Kwa njia ya vita, tangu mwaka 1948 mpaka leo, kila wanapoanzisha mapigano, wanazidi kupoteza zaidi.
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel, bwana Yoav Galant, amesema kuwa shambulio la Iran la hivi karibuni lilikiwa kali lakini lilishindwa, kwa sababu hakuna radilimali za kijeshi za Israel zilizoharibiwa.

Kuhusu kuiadhibu Iran kwa shambulio hilo, bwana Yoav amesema kuwa shambulio la Israel litakuwa la nguvu, lenye usahihi, na zaidi ya yote, litakalowashangaza. Iran hawataelewa kilichotokea na kimetokea kwa namna gani.

Hawa wayahudi sijui watatumia nini!! Kutamba kwa namna hii siyo bure, lazima hawa wayahudi kuna kitu wana uhakika wa kukifanya.

Habari yenyewe, kwa kiingereza, hii hapa:

"Speaking on Wednesday, Israel’s Minister of Defense Yoav Gallant said the recent Iranian attacks on Israel had been “aggressive” but ultimately “failed” since no military assets were damaged.

On the prospect of Israeli retaliation, Gallant said: “Our strike will be powerful, precise, and above all – surprising. They will not understand what happened and how it happened."

Iran walikosea sana kuishambulia israel
 
Back
Top Bottom