matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wagalatia 3:28 ,29
Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Ni hayo tu. Mfano mimi sio mmatumbi kimsingi ni mzao wa Ibrahimu mwenye sifa kuliko hao wa middle east. Badala ya mtu kwenda kuwashangaa na kuwashabikia bora unishabikie mimi.
Hivyo vita vya Iran na Israel hiyo ni vita vya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni na kidoogo ni maandalizi ya utawala wa mpinga kristo.
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa mtoto wa ibrahim na muisrael kwelikweli. Uizrael wa Biblia sio rangi au taifa bali ni maamuzi.. mtu Yeyote duniani akitaka anaweza kuamua kuwa muisrael popote alipo.
Ni hayo tu...
Mtumishi Matunduizi
Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Ni hayo tu. Mfano mimi sio mmatumbi kimsingi ni mzao wa Ibrahimu mwenye sifa kuliko hao wa middle east. Badala ya mtu kwenda kuwashangaa na kuwashabikia bora unishabikie mimi.
Hivyo vita vya Iran na Israel hiyo ni vita vya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni na kidoogo ni maandalizi ya utawala wa mpinga kristo.
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa mtoto wa ibrahim na muisrael kwelikweli. Uizrael wa Biblia sio rangi au taifa bali ni maamuzi.. mtu Yeyote duniani akitaka anaweza kuamua kuwa muisrael popote alipo.
Ni hayo tu...
Mtumishi Matunduizi