Issa Gavu wa CCM awasili Geita kuzindua kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa

Issa Gavu wa CCM awasili Geita kuzindua kampeni za Uchaguzi Serikali za Mitaa

Hamduni

Senior Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
172
Reaction score
118
GAVU AWASILI GEITA KUZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC) Oganaisheni na Mjumbe wa Kamati Kuu Issa Gavu amewasili mkoani Geita kwa ajili ya kuzindua rasmi Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Gavu amewasili mkoani Geita leo Novemba 20,2025 na baada ya kuwasili amefanya mazungumzo na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Geita kabla ya kuelekea katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo zitakazofanyika katika Viwanja vya Shilabela Geita Mjini.

IMG-20241120-WA0019.jpg
IMG-20241120-WA0018.jpg
IMG-20241120-WA0017.jpg
IMG-20241120-WA0016.jpg
 
KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC) Oganaisheni na Mjumbe wa Kamati Kuu Issa Gavu amewasili mkoani Geita kwa ajili ya kuzindua rasmi Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu.

Gavu amewasili mkoani Geita leo Novemba 20,2025 na baada ya kuwasili amefanya mazungumzo na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Geita kabla ya kuelekea katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo zitakazofanyika katika Viwanja vya Shilabela Geita Mjini.


IMG-20241120-WA0134.jpg
 
Back
Top Bottom