Issa Michuzi na vekesheni

Issa Michuzi na vekesheni

Status
Not open for further replies.

Mapinduzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2008
Posts
2,418
Reaction score
98
Issa Michuzi kaandika kwenye blog yake kuwa yuko vekesheni, na kweli anatundika picha mbalimbali akiwa anajivinjari sehemu mbalimbali nchini Marekani.


Ninachojiuliza, je ni kweli amejilipia vekesheni hiyo yeye mwenyewe au yuko kwenye msafara wa Rais Kikwete nchini Marekani?


Kama yuko kwenye msafara wa rais, ina maana analipiwa gharama zote na pesa ya walipa kodi. Je ni halali kufanya ziara ya kikazi kuwa vekesheni yake na kufanya shughuli binafsi kama alivyoonyesha kwenye picha mbalimbali kwenye blog yake?

Kwa mshahara wa mfanyakazi wa serikali kama Issa, sio rahisi kufanya vekesheni sehemu mbalimbali za dunia, na kujigharimia mwenyewe. Je Issa Michuzi anapata wapi pesa hizi?

Je, Issa Michuzi ni fisadi au anafadhiliwa na mafisadi kwenye safari zake? Kama mfanyakazi wa serikali, Issa Michuzi anatumia muda kiasi gani ofisini, akilitumikia Taifa kama muda mwingi anakuwa safarini, na kwa nini anatumia muda wake mwingi kwenye shughuli zake binafsi kama safari zake zinalipiwa na walipa kodi?

Naomba kueleweshwa na yeyote mwenye kujua zaidi.

Picha zote zimetoka Michuzi blog.
 
Je, Issa Michuzi ni fisadi au anafadhiliwa na mafisadi kwenye safari zake?

Oh, yeah, nimepotea katika kichaka cha ukoka!!!!
 
Yupo kikazi ktk msafara wa JK, kwa wabongo kwenda nje kikazi wanaichukulia ni vekesheni, hata mabalozi wetu wako vekesheni.
 
Yupo kikazi ktk msafara wa JK, kwa wabongo kwenda nje kikazi wanaichukulia ni vekesheni, hata mabalozi wetu wako vekesheni.


Kwa nini wanatumia pesa za walipa kodi kwenye vekesheni zao jamani? Hii ndio mipango ya nchi ambayo wanafunzi wa shule ya msingi wanakaa chini kwa ukosefu wa madawati?
 
Sasa mnataka kuchemka, kama mmekosa thread za kuanzisha bora mtafute wimbo mmoja hapa tuujadili.
Hiyo lugha ya vekesheni ni humour anayoitumia michuzi kama msanii katika fani ya ku-blog. Kama unashangaa kutumia vekesheni mbona huulizi kwanini anajiita ''nanihii'', au unadhani ana jina?
 
usishangazwe mzee! issa michuzi ni mpiga picha wa gazeti la shirika la serikali daily news! kwahiyo huenda popote mkuu wa nchi anapoenda lazima gazeti la serikali liwepo. kuhusu yeye kutumia hizo nafasi kufanya vitu vingine i think is unfair critisim,, hata wewe ukienda kwenye mkutano mbagala baada ya mkutano kama kuna ndugu zako utatumia wasaha kwenda kuwatembelea, issa michuzi ni ndugu wa wa tanzania wote ughaibuni.mwisho ratiba ya rais ina a lot of unofficial hours which doesnt need watu wasiotoka in the goverment to be with president,in which michuzi he in not government official
 
Wewe UM katafute kazi ya kufanya..sasa ni madudu gani haya unatuletea jamvini?
 
sasa na wewe acha kufuata fuata avatar yangu, na huo ndio uhuru wangu

Huna ubavu wa kuni-limit uhuru wangu wa maoni..this will go down as your wildest of wishes but will never become true..kama nilivyokwisha kwambia kama umekereka sana saga vyupa..mimi ntakusaidia kukunywesha..thats all i can do.!
 
Huna ubavu wa kuni-limit uhuru wangu wa maoni..this will go down as your wildest of wishes but will never become true..kama nilivyokwisha kwambia kama umekereka sana saga vyupa..mimi ntakusaidia kukunywesha..thats all i can do.!

this time itabidi umueleze mwenzio kwanini unanifuatafuata na avatar yangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom