Issac Gamba na vituko vyake vya utangazaji

Issac Gamba na vituko vyake vya utangazaji

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
7,375
Reaction score
6,958
Mtangazaji wa ITV na Radio one bwana Isaac Gamba huwa ananiacha hoi kwa tabia yake ya utangazaji ya kukatakata(yaani ana weka "pozi" mahali pasipotakiwa kuweka) katika sentensi, sasa sijui ni staili tu au ni kigugumizi!? ukimsikiliza kwa harakaharaka wakati mwingine unaweza umwelewe tofauti.
Mfano wa maneno ambayo nimemsikia akiweka pozi na kuchanganya habari ni kama ifuatavyo.....,
...Uhusiano kati ya Uchi.....na Taiwan
...Kazi hiyo ya kuku...................sanya maoni ...
...Mamlaka ya usafi....................riwa anga...
...Ulaji wa mbo....................gamboga kwa afya...
...Rais Kikwete alifua............tana na waziri mkuu..
...Mpambano kati ya Mbwa...............na Matumla
...Raisi Kikwete na uongo...........ziwake
Ajitahidi kujirekebisha bwana...
 
hahahah hii kali!! ahahaha mpambano kati ya mbwa na matumla! Hahahaha ya mheshimiwa raisi na uongo nayo kali 😀
 
Mtangazaji wa ITV na Radio one bwana Isaac Gamba huwa ananiacha hoi kwa tabia yake ya utangazaji ya kukatakata(yaani ana weka "pozi" mahali pasipotakiwa kuweka) katika sentensi, sasa sijui ni staili tu au ni kigugumizi!? ukimsikiliza kwa harakaharaka wakati mwingine unaweza umwelewe tofauti.
Mfano wa maneno ambayo nimemsikia akiweka pozi na kuchanganya habari ni kama ifuatavyo.....,
...Kazi hiyo ya kuku...................sanya maoni ...
...Mamlaka ya usafi....................riwa anga...
...Ulaji wa mbo....................gamboga kwa afya...
...Rais Kikwete alifua............tana na waziri mkuu..
...Mpambano kati ya Mbwa...............na Matumla
...Raisi Kikwete na uongo...........ziwake
Ajitahidi kujirekebisha bwana...
Mi nadhani ni ana kigugumizi sio mapozi bana!
 
Mfano wa maneno ambayo nimemsikia akiweka pozi na kuchanganya habari ni kama ifuatavyo.....,
...Ulaji wa mbo....................gamboga kwa afya...
...Raisi Kikwete na uongo...........ziwake
Ajitahidi kujirekebisha bwana...

Aisee kama ni hivyo kweli inaweza kuleta maana isiyokusudiwa🙂!
 
hii kali itabidi nifanye uchunguzi sijawahi kuishitukia
 
ah..ah...ah.!

atajirekebishaje kama ana kigu....gumizi!

Labda kama hujafuatilia mswano, most ya hawa watangazaji wa Runingani na kwa Radios huwa sauti au staili wanayotumia wakiwa kazini ni tofauti na wakiwa mtaani. Wengi wao huwa wanakuwa kama wanaigiza sauti za ma- role models wao. Kwa mfano huyo Gamba ukimwangalia uzuri anapoongea huwa kama anauma maneno, sauti yake pia inafanana kwa mbali ya Godwin Gondwe.. au Abdallah Lihongo .Jinsi anavyo vunja vuja midomo Gamba na Juma Mkamia vile vile pamoja na Dogo Mmoja yupo TBC1 anatangaza sana Masula ya michezo anaitwa Enock Bwigane.

...Wako wale wanaotangaza mipira kama akina Mkamia na baadhi ya hawa wanaochipukia katia FM radios, ukiwafutilia uzuri unaweza kukumbuka sauti na pengine staili ya matamshi na utangazaji wao hazitofautiani sana na watangazaji wa zamani kama akina Braza Mick (Mikidadi) Ahmedi Jongo, Charles Hilary nk...

....Pengine unadhani shida kwenye inakuwa kwenye hivyo vyuo wanavyojifunzia, mazingira ya kazi na wale wanaowaelekeza kazi, upeo wa ubunifu au radha ya sauti ambayo wasikilizaji wao wanadhani wanaipenda kusikiliza masikioni.. na hii inaenda kutengeneza mazoea.
 
Kuna yule wa Clouds na TBC 1 katika uchambuzi wa Michezo Shafii Dauda... Mpaka anapendeza na Kigu...gumizi chake huwa mimi napenda kumsikiliza/mwangalia akiongea kutokana na kigu...gumizi chake...
 
Kuna yule wa Clouds na TBC 1 katika uchambuzi wa Michezo Shafii Dauda... Mpaka anapendeza na Kigu...gumizi chake huwa mimi napenda kumsikiliza/mwangalia akiongea kutokana na kigu...gumizi chake...


Tom Chilalala haaaaaa???

Sauda Mwilima STAR TV???

May God!

Ebu sikiliza vizuri pia hao watangazaji wa kike ndo balaa kwa staili...Jane John= Halima Mchuka
Hapo wa FM Radio ndo ahaaaaaa...hakuna mwenye sauti ya asili.
 
Namfahamu Isaack Gamba vizuri na ni mtu wangu wa karibu hiki kigugumizi kimekuja siku hizi tu naona ni katika mbwembwe na madoido baada ya hali ya kimaisha kuwbadilika na kuwa bora zaidi kuliko hapo nyuma.Hicho kigugumizi kakitengeneza tengeneza tu siku za karibuni.
 
mimi nafikiri ana kigugumizi lakini anajitahidi kisionekane.
 
kuna yule dada anaitwa Rachel Udoba....huwa akitangaza habari mawazo yake yanakuwa hayapo pale...anakuwa na mawazo yake mengine,anakufanya msikilizaji usubiri kusikiliza anataka kusema nini....very boring
 
Tom Chilalala haaaaaa???

Sauda Mwilima STAR TV???

May God!

Ebu sikiliza vizuri pia hao watangazaji wa kike ndo balaa kwa staili...Jane John= Halima Mchuka
Hapo wa FM Radio ndo ahaaaaaa...hakuna mwenye sauti ya asili.
Sauda Mwilima Utafurahi/Utacheka
 
Back
Top Bottom