technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Siasa za mpira bongo zimerudi tena kwa kasi Sana
Contract termination ni Kati ya mchezaji na club je imefanyika hivyo?
Mchezaji hawezi kuongea na club nyingine mpaka mkataba wake uwe umebakiza miezi 6 je ipo hivyo kwa fei toto.?
Vipengele vya kuvunja mkataba vipo 3 ikiwa hauchezi kama mlivyokubaliana kwenye mkataba kama ilivyokuwa issue ya Onyango na simba je fei toto achezi yanga?
Ikiwa haujalipwa mshahara wa miezi 3 iliyopita kama ilivyokuwa kwa Msuva na Waydad casablanca ya Morocco.
Je haya masharti yanga wameyakiuka kwenye mkataba?
Azam wanamshawishi kwa mshahara wa milioni 10 je ameongea na yanga milioni 10 wamegoma jumpatia?
Azam wamemwahidi jumba la kifahari tufanye kama milioni 200 je yanga wanashindwa?
Je Azam wamekaa mezani na Yanga kuomba kumnunua fei toto!!!?jibu hapana..
Ukifatilia yote hayo utagundua ni mchezo ni siasa either imechezwa na Yanga au azam wenyewe .
Azzam wanajua ubora wa yanga wanaweza kucheza hii mchezo ili yanga waache ku focus kwenye game yao ya kesho
Hakuna mchezaji mwenye mkataba wa miaka zaidi ya 2 anayeweza kuondoka kienyeji hivi kwenye timu yeyote duniani.
Labda kama Fei hakuwa na mkataba na Yanga sawa yanaweza kutokea mauza uza kama haya!!!
Contract termination ni Kati ya mchezaji na club je imefanyika hivyo?
Mchezaji hawezi kuongea na club nyingine mpaka mkataba wake uwe umebakiza miezi 6 je ipo hivyo kwa fei toto.?
Vipengele vya kuvunja mkataba vipo 3 ikiwa hauchezi kama mlivyokubaliana kwenye mkataba kama ilivyokuwa issue ya Onyango na simba je fei toto achezi yanga?
Ikiwa haujalipwa mshahara wa miezi 3 iliyopita kama ilivyokuwa kwa Msuva na Waydad casablanca ya Morocco.
Je haya masharti yanga wameyakiuka kwenye mkataba?
Azam wanamshawishi kwa mshahara wa milioni 10 je ameongea na yanga milioni 10 wamegoma jumpatia?
Azam wamemwahidi jumba la kifahari tufanye kama milioni 200 je yanga wanashindwa?
Je Azam wamekaa mezani na Yanga kuomba kumnunua fei toto!!!?jibu hapana..
Ukifatilia yote hayo utagundua ni mchezo ni siasa either imechezwa na Yanga au azam wenyewe .
Azzam wanajua ubora wa yanga wanaweza kucheza hii mchezo ili yanga waache ku focus kwenye game yao ya kesho
Hakuna mchezaji mwenye mkataba wa miaka zaidi ya 2 anayeweza kuondoka kienyeji hivi kwenye timu yeyote duniani.
Labda kama Fei hakuwa na mkataba na Yanga sawa yanaweza kutokea mauza uza kama haya!!!