Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
Hoja ya mwalimu ni kuwa ni mzuri kwa ligi ya ndani lakini si wa mechi za kimataifaKwa maoni yangu tungeachana na kotei, Kotei anacheza kizamani sana, anajua kukaba Ndio lakini si mzuri kuanzisha mashambuliza kama walivyo viuongo wa kisasa.
Pili kubaki na mkude pekeake ni bora kumbakisha pia kotei.
Mkunde ni mzr kujenga mashambulizi lakini si mzri sana kukaba
Hahaha Mkude anachomoa betri hukoKwa maoni yangu tungeachana na kotei, Kotei anacheza kizamani sana, anajua kukaba Ndio lakini si mzuri kuanzisha mashambuliza kama walivyo viuongo wa kisasa.
Pili kubaki na mkude pekeake ni bora kumbakisha pia kotei.
Mkunde ni mzr kujenga mashambulizi lakini si mzri sana kukaba
Wenye akili tuliliona hillo ona Sasa matusi haya mtaani...mwanangu 3 amekstaa Hadi kulaNikiwa kama shabiki wa simba niliadhani tupo serious kwenye kuimairisha ulinzi wa team kumbe mafyongo tu,ni dhahiri James kotei hana ma godfather klabuni au kakataa kukata fungu kubwa kwenye usajili maana mkataba umeisha anatakiwa apewe sio chini ya milioni 80 na kuongezewa mshahara
cha kushangaza wanamuacha na kumletea mbrazil ambaye sio siri atawika mechi mbili tatu kwenye viwanja vizuri huko mikoani yeye mwenyewe ataompa poo,atapigwa misumari na kukrudi kwao kama kina jaja
Kweli mnamucha kotei ambaye alikuwa keshazoea team, na kafnya vyema? kweli jamani,siamini aisee hata danadana ya walter bwalya imenishangaza sana mwishowe tunaambiwa kuna mshambuliaji wa orlando pirates tunamgombania na Eibar ya spain,sijui kwa hela gani sasa kama milioni 800 ya bwalya ilishindikana.Kuweni serious basi kina magori
Dah!Mashabikii....Sasa Beno angedaka ina maana angepiga Shuti toka golini kwake hadi kutikisa nyavu za Songo kule?Kwa nini Benno hakudaka Leo ?
Majuto ni mjukuuKwa nini Benno hakudaka Leo ?
nje ya nyumba yako huna michongoma au miarobaini?Wenye akili tuliliona hillo ona Sasa matusi haya mtaani...mwanangu 3 amekstaa Hadi kula