Issue ya Kikwete, Kagame, Rwanda na Tanzania: Ushauri wangu

Issue ya Kikwete, Kagame, Rwanda na Tanzania: Ushauri wangu

Mtangoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
6,167
Reaction score
5,613
Mi sio mtaalam wa diplomasia lakini najua vita ya maneno humalizwa kwa wahusika kukaa pamoja kujadili tatizo na kulimaliza. Nashauri rais Kikwete amwalike Kagame, wajifungie Magogoni waongelee hii issue na iishe once for all. Huko '"chamber" rais Kikwete anaweza kumshauri Kagame better way ya ku deal na Waasi na nina hakika baada ya hapo things will be better.

Kufanya hili kutaongeza heshima ya Rais wetu kwa kuonesha hekima na Kagame akikataa basi kila mtu atajua ni mtu wa aina gani. Kwa kufanya Hivi, JKM atabaki kuwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wetu. Hatapungukiwa na kitu na heshima itaongezeka.

Kutafuta nani kakosea katika public au ushauri wa nani ulipaswa ufanywe vipi haisaidii kwa kuwa kuna kutokuelewana kwa lugha kati yao. Kukutana ni better way ya ku deal na misunderstandings

Meekness does not mean weakness and It takes a strong man to swallow pride!

Nionavyo mimi.

UPDATES
Rais J. Kikwete ameonesha kuwa ni imara kwa kukubali maongezi kumaliza hii issue. Hii haina maana kuwa anataka "kutubu" wala kuwa "anaomba suluhu" bali ni kutaka amani! Hongera sana Mhe. Rais!

"President (Kikwete) has asked the Ugandan President, Yoweri Museveni, to see how this matter can be resolved," Tanzanian Prime Minister Mizengo Pinda said in parliament when asked about how the government was dealing with the Rwandan issue"
http://www.reuters.com/article/2013/08/29/us-tanzania-rwanda-idUSBRE97S11S20130829
 
Mi sio mtaalam wa diplomasia lakini najua vita ya maneno humalizwa kwa wahusika kukaa pamoja kujadili tatizo na kulimaliza. Nashauri rais Kikwete amwalike Kagame, wajifungie Magogoni waongelee hii issue na iishe once for all. Huko '"chamber" rais Kikwete anaweza kumshauri Kagame better way ya ku deal na Waasi na nina hakika baada ya hapo things will be better.

Kufanya hili kutaongeza heshima ya Rais wetu kwa kuonesha hekima na Kagame akikataa basi kila mtu atajua ni mtu wa aina gani. Kwa kufanya Hivi, JKM atabaki kuwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wetu. Hatapungukiwa na kitu na heshima itaongezeka.

Kutafuta nani kakosea katika public au ushauri wa nani ulipaswa ufanywe vipi haisaidii kwa kuwa kuna kutokuelewana kwa lugha kati yao. Kukutana ni better way ya ku deal na misunderstandings

Meekness does not mean weakness and It takes a strong man to swallow pride!

Nionavyo mimi.
Kwani Rais wetu kakosea wapi na kamfanya nini Kagame mpaka yeye achukue jukumiu la kuita nakufanya naye mazungumzo??
Yani unataka kufanya Tanzania inababaika kwa wauaji??This is too cheap!
 
''There is something serious behind the scene'' kati ya hawa marais wawili ambacho hatukijui,We just let them keep on blowing some steam tutajua ukweli tu muda si mrefu,ushauri tu hauwezi kuleta mgogoro mkubwa kiasi hiki.
 
Mi sio mtaalam wa diplomasia lakini najua vita ya maneno humalizwa kwa wahusika kukaa pamoja kujadili tatizo na kulimaliza. Nashauri rais Kikwete amwalike Kagame, wajifungie Magogoni waongelee hii issue na iishe once for all. Huko '"chamber" rais Kikwete anaweza kumshauri Kagame better way ya ku deal na Waasi na nina hakika baada ya hapo things will be better.

Kufanya hili kutaongeza heshima ya Rais wetu kwa kuonesha hekima na Kagame akikataa basi kila mtu atajua ni mtu wa aina gani. Kwa kufanya Hivi, JKM atabaki kuwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wetu. Hatapungukiwa na kitu na heshima itaongezeka.

Kutafuta nani kakosea katika public au ushauri wa nani ulipaswa ufanywe vipi haisaidii kwa kuwa kuna kutokuelewana kwa lugha kati yao. Kukutana ni better way ya ku deal na misunderstandings

Meekness does not mean weakness and It takes a strong man to swallow pride!

Nionavyo mimi.

Unakumbuka Kagame mara ya mwisho kuja Tanzania ni lini....? Unajua kwanini huwa haji anatuma wajumbe tu...? Fikiri.....!
 
Kwani Rais wetu kakosea wapi na kamfanya nini Kagame mpaka yeye achukue jukumiu la kuita nakufanya naye mazungumzo??
Yani unataka kufanya Tanzania inababaika kwa wauaji??This is too cheap!
Too cheap? Who sells it?

Kuna mahali nimesema rais kakosea? Hebu soma tena uelewe ninachokisema halafu rekebisha comment yako! KakaKiiza
 
Last edited by a moderator:
''There is something serious behind the scene'' kati ya hawa marais wawili ambacho hatukijui,We just let them keep on blowing some steam tutajua ukweli tu muda si mrefu,ushauri tu hauwezi kuleta mgogoro mkubwa kiasi hiki.
Hawa ni wakuu wa nchi zao ujue!
 
kwanini isiwe Kagame amwalike Rais Kikwete?
Kagame sio rais wangu. Kikwete ni rais wangu.
Is it that much strange to you for a citizen to advice his president?
 
Kaka ushauri wako ni mzuri sana, sijui ni bakuli hili ndo linataka kutuuua?
 
nielezee kidogo. sijamuelewa huyu ndugu!
Rais Kagame amekuwa hakanyagi Tanzania kwa muda mrefu sasa, iwe katika matukio rasmi na yasiyo rasmi. kwa kiongozi wa nchi jirani kutokuhudhuria mikutano/matukio muhumu ambayo Raisi wa Tanzania ni muhusika mkuu ni dhahiri kuwa kunatatizo. Katika kipindi cha miaka michache iliyopita, maraisi wote wanaotuzunguka wamewahi kukanyaga Tanzania isipokuwa yeye. Rais wa nje huwa hadhuru nchi hivi hivi tu bila ya kuwa na mawasiliano ya awali, kwa hiyo si kwamba maraisi hawa hawawasiliani bali mawasiliano yao siyo mazuri.
 
Too cheap? Who sells it?

Kuna mahali nimesema rais kakosea? Hebu soma tena uelewe ninachokisema halafu rekebisha comment yako! KakaKiiza
Yani ulivyoeleza nikama mwenyekosa ni Rais Kikwete!Kwanini yeye aite kikao cha usuruhishi je ninani wakuitisha kikao cha mazungumzo kati ya Kikwete na Kagame??Mimi nimesoma nanimekuelewa ila mpangilio wako ndo unakasoro halafu unanitisha nirekebisha SASA NA SEMA SIREKEBISHE UNASIKIA?? Stefano Mtangoo
 
Last edited by a moderator:
Yani ulivyoeleza nikama mwenyekosa ni Rais Kikwete!Kwanini yeye aite kikao cha usuruhishi je ninani wakuitisha kikao cha mazungumzo kati ya Kikwete na Kagame??Mimi nimesoma nanimekuelewa ila mpangilio wako ndo unakasoro
Sorry for writting it a bit Philosophical. I was sure some of you could not get it!
Refer the Quotes as I ended my post. I'm not sure If I should be writing in simplistic style.
Again sorry there is nothing to explain here!

halafu unanitisha nirekebisha SASA NA SEMA SIREKEBISHE UNASIKIA?? Stefano Mtangoo
No One is intimidating you. You swallow it or vomit it. They are both in your hands!
Nice time buddy! KakaKiiza
 
Last edited by a moderator:
Hata wa kwetu sikumbuuki mara ya mwisho kwenda RWANDA!! Hivi ni kwa nini? Tafakari

Hali sio shwari .......kinyume na ambavyo wahariri wetu walivyo vichwa maji mfano ITV kila siku inang'ang'ania kwenye taarifa yake ya habari saa mbili usiku kuleta habari za Rwanda....!
 
Mi sio mtaalam wa diplomasia lakini najua vita ya maneno humalizwa kwa wahusika kukaa pamoja kujadili tatizo na kulimaliza. Nashauri rais Kikwete amwalike Kagame, wajifungie Magogoni waongelee hii issue na iishe once for all. Huko '"chamber" rais Kikwete anaweza kumshauri Kagame better way ya ku deal na Waasi na nina hakika baada ya hapo things will be better.

Kufanya hili kutaongeza heshima ya Rais wetu kwa kuonesha hekima na Kagame akikataa basi kila mtu atajua ni mtu wa aina gani. Kwa kufanya Hivi, JKM atabaki kuwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wetu. Hatapungukiwa na kitu na heshima itaongezeka.

Kutafuta nani kakosea katika public au ushauri wa nani ulipaswa ufanywe vipi haisaidii kwa kuwa kuna kutokuelewana kwa lugha kati yao. Kukutana ni better way ya ku deal na misunderstandings

Meekness does not mean weakness and It takes a strong man to swallow pride!

Nionavyo mimi.

unachokionyesha hapa ni kuwa JK amemkosea Kagame na hivyo amwombe msamaha. Ni kosa gani alilofanya JK.
for your info...kwa Rwanda kukataa kukaa meza ya diplomasia na intarahamwe, Rwanda inastahili kuwa mjumbe wa AU security Council kama ilivyo sasa?
 
Back
Top Bottom