Umenifurahisha umetuletea uzi halafu hapo hapo ukamwaga hisia zako, anyway hata mimi sijapenda alichofanya huyo mwenye kuitwa "Tz sweetheart"alipaswa ajitetee yeye kama yeye kwamba hahusiki na sio kumchoma mwenzieKumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Ohoooo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Je umechukua mamlaka ya MUNGU? Usihukum utahukumiwaKumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Umrshaambiwa zipo awamu saba, unajuwaje kama awamu hii Ya Tatu masogange nae alikuwa kwenye list? We dada sijui Kaka acha unafki Mungu anakuona.Binamu issue ni hivi, siku zote walikua wapi kumtaja masogange? why akamatwe baada y wema kumtaja? we all know issue ya masogange in SA, na ilishaisha ila wema kairudisha, wema hajatenda haki kwa msichana mwenzie ,kamuaribia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We ulitaka asikamatwe yeye nani?Kama Manji mwenyewe katajwa itakuwa huyo msingi tako?
Sawa.acha undumi la kuwili, kesi ya masogange ilikua SA na ilishaisha who the **** are you kjifanya wololo
Sasa Kama Baba yako alifumwa ana.... na jamaa ni kwamba utaendelea kumuita ahaaa Shg wakati ilikuwa zamani, usihukumu kwa mambo ya zamani labda Mzee wako aliachaila hii hata wasimulaumu mtoto wa sepetu bure, nani asiyejua kwamba masogange alikamatagwa na madawa ya kulevya? huyo nae uwoya hana jipya tu, aendelee kukodoa jicho lake kubwa ka nyanya chungu za rwanda....
Kwahiyo wewe unyoya ulitaka huyo masonini sijui aendelee kawauzia watoto wetu misumu ya ubongo kisa ana uhusiano na mungu mdogo?Acha zako hizo. Kama mafanikio yenu ni kwa njia haramu ni lazima mlipeLile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baada ya kumtaja masogange kuwa mi miongoni mwa ma staa wanaotumia na kuuza madawa ya kulevya, staa hyo alitumia tafsida kufikisha ujumbe kwa wema sepetu kuwa alichokifanya sio ustaarabu ,alimtaka staa hyo kujifunza kutatua matatizo yake bila kumshirikisha mtu.
Wema na uwoya ni mastaa ambao inasadikiwa wako kwenye bifu la chini kwa chini kwa muda mrefu, uenda sakata hili linaweza kuibua ugomvi mkubwa kwa mastaa hao wawili wenye mvuto wa aina yake.
Utetezi huo kwa Masonini ni kuonyesha kwamba Uyowa naye yumo. Sasa kapata hofu. Kwa nn utetee uhalifu... Haya sasa tutaona ile.. ..Aggy.. Njoo!Kwahiyo wewe unyoya ulitaka huyo masonini sijui aendelee kawauzia watoto wetu misumu ya ubongo kisa ana uhusiano na mungu mdogo?Acha zako hizo. Kama mafanikio yenu ni kwa njia haramu ni lazima mlipe
Hayo mata.ko ya hii familia si mchezo.
Hao ni ndugu wa Masogange wakiwa wanaondoka Sentro bila ya kujua hatma ya ndugu yao
Mungu asaidie uwe mwanamke,kama ni mwanaume kunatatizo!Kumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
ila historia uw haifutiki.Sasa Kama Baba yako alifumwa ana.... na jamaa ni kwamba utaendelea kumuita ahaaa Shg wakati ilikuwa zamani, usihukumu kwa mambo ya zamani labda Mzee wako aliacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu asaidie uwe mwanamke,kama ni mwanaume kunatatizo!