Issue ya nyumba utapata big commission

Issue ya nyumba utapata big commission

survivor03

Senior Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
131
Reaction score
21
Wakuu mambo vipi?
Mimi nina nyumba yangu kigamboni nataka kuikarabati kwa kutoa maduka (shops) mbili, ili nipangishe na kuongeza vyumba. Sasa kama mtu atakuwa interested anaweza tukawasiliana tukaenda eneo la tukio (nyumba) nikamuonyesha, halafu akanipatia fedha kwa ajili ya kutengeneza kwa 3 weeks baada ya hapo napangisha halafu kwenye kodi inayopatikana nampatia hela yake yote na commission ya 5% extra kutokana na kodi (rent) za shops. My contacts: 0715388666, mohdnass3@gmail.com ua ni PM
Thanks!
 
Wakuu mambo vipi?
Mimi nina nyumba yangu kigamboni nataka kuikarabati kwa kutoa maduka (shops) mbili, ili nipangishe na kuongeza vyumba. Sasa kama mtu atakuwa interested anaweza tukawasiliana tukaenda eneo la tukio (nyumba) nikamuonyesha, halafu akanipatia fedha kwa ajili ya kutengeneza kwa 3 weeks baada ya hapo napangisha halafu kwenye kodi inayopatikana nampatia hela yake yote na commission ya 5% extra kutokana na kodi (rent) za shops. My contacts: 0715388666, mohdnass3@gmail.com ua ni PM
Thanks!

Investors wa Tanzania (Wachaga) wameshafika hilo eneo? Kuna biashara gani inaweza kufanyika eneo husika?

 
Back
Top Bottom