survivor03
Senior Member
- Jan 10, 2012
- 131
- 21
Wakuu mambo vipi?
Mimi nina nyumba yangu kigamboni nataka kuikarabati kwa kutoa maduka (shops) mbili, ili nipangishe na kuongeza vyumba. Sasa kama mtu atakuwa interested anaweza tukawasiliana tukaenda eneo la tukio (nyumba) nikamuonyesha, halafu akanipatia fedha kwa ajili ya kutengeneza kwa 3 weeks baada ya hapo napangisha halafu kwenye kodi inayopatikana nampatia hela yake yote na commission ya 5% extra kutokana na kodi (rent) za shops. My contacts: 0715388666, mohdnass3@gmail.com ua ni PM
Thanks!
Mimi nina nyumba yangu kigamboni nataka kuikarabati kwa kutoa maduka (shops) mbili, ili nipangishe na kuongeza vyumba. Sasa kama mtu atakuwa interested anaweza tukawasiliana tukaenda eneo la tukio (nyumba) nikamuonyesha, halafu akanipatia fedha kwa ajili ya kutengeneza kwa 3 weeks baada ya hapo napangisha halafu kwenye kodi inayopatikana nampatia hela yake yote na commission ya 5% extra kutokana na kodi (rent) za shops. My contacts: 0715388666, mohdnass3@gmail.com ua ni PM
Thanks!