issue za kazi..

issue za kazi..

survivor03

Senior Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
131
Reaction score
21
Wakuu mambo vipi, nasikia siku hizi kuna waheshimiwa fulani wanakuunganishia kazi kiulaini lakini mwisho wa mwezi unapopokea mshahara wako unampatia commission yake mliyopatana, wakuu naomba kwa anayewajua hao waheshimiwa tujulishane..Maana siku hizi hata ukiwa qualified vp kazi hupatikana kwa kujuana.. 0715388666:cell:
 
Back
Top Bottom