Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
7m
hii toa hapa mkuuCard ya gari hio hapo
View attachment 2024952
Hii unapa namba C. kwa D tena za katikati inakata6.5m immediately cash
Thanks for the offer.
Tunasubiri April zikianza namba E mtatuzia hizo namba D kwa 6.5m huku wale wa C wakiuza 5m au chini!Thanks for the offer.
we only accept 8.5m
Hizo odometer mnazichezeaga.
Gari ni zaidi ya odometer. Kama huna uwezo wa kununua gari usiwavuruge wanaohitaji.Hizo odometer mnazichezeaga.
#MaendeleoHayanaChama
Kwahiyo tusikilizie mpaka zikaanza namba ETunasubiri April zikianza namba E mtatuzia hizo namba D kwa 6.5m huku wale wa C wakiuza 5m au chini!
IST for evrebadee [emoji28] siwezi nunua gari kwa 14m kisa namba wakati naweza pata gari hio hio kwa 6.5m