sempulinho
Member
- Oct 6, 2013
- 54
- 12
Naomba kuuliza wadau kati IST na Runx IP gari imara kwa mazingira yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua spacio nzuri kuliko hizo ist na runx...Naomba kuuliza wadau kati IST na Runx IP gari imara kwa mazingira yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ishu itakuwa gharama ya vipuri. Ila kama hatojali hilo,Polo ni mashine
Vipuri vimejaa kaka,Hapo ishu itakuwa gharama ya vipuri. Ila kama hatojali hilo,Polo ni mashine
Dah kweli tunatofautiana. Lile tako la runx ndo lililonipa mzuka wa kuchukua enzi izo. Ist imepigwa pasi Sana nyumaRunx ndani inamuonekano mzuri sana kuliko ist especially pale kwenye dash....
Lakini pia runx inavumilia shida kuliko ist...
Tatizo la runx ni pale nyuma ina muonekano mbaya inakuwa kaka kuku aliyenyonyolewa mkia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...ni kweli kiasi fulani ist hapa nyumba ipo kama wowowo ya binti wa kichinaDah kweli tunatofautiana. Lile tako la runx ndo lililonipa mzuka wa kuchukua enzi izo. Ist imepigwa pasi Sana nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂kuku aliyenyonyolewa mkia? Duuuhh. You have made my day!Runx ndani inamuonekano mzuri sana kuliko ist especially pale kwenye dash....
Lakini pia runx inavumilia shida kuliko ist...
Tatizo la runx ni pale nyuma ina muonekano mbaya inakuwa kama kuku aliyenyonyolewa mkia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi runx inanitia mzuka yote nje na ndani na kwakweli ni gari tamu. Naitumia na nikiichoka naiuza na kununua tena runxRunx ndani inamuonekano mzuri sana kuliko ist especially pale kwenye dash....
Lakini pia runx inavumilia shida kuliko ist...
Tatizo la runx ni pale nyuma ina muonekano mbaya inakuwa kama kuku aliyenyonyolewa mkia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi naipenda kuliko ISTMimi runx inanitia mzuka yote nje na ndani na kwakweli ni gari tamu. Naitumia na nikiichoka naiuza na kununua tena runx