Istagram kuna wajinga wengi nimejitoa

Uthitubitu mm nimefuta hadi app yao
 
Nafikiri hujui kanuni za ulimwengu wa mitandao, kanuni ni kwamba dunia sinia pakua unachoweza.

Insta kuna contents kulingana na uhitaji wako, ukitaka hard news zipo na udaku pia upo.

Chamsingi, jifunze jinsi ya kutumia mitandao kwa tija, maana hao wanaume na wanawake unaowadharau wa insta wapo wafanya biashara wanajitengenezea kipato halali na insta ni sehemu ya mteja na mfanya biashara kukutana.
 
Ukitumia application video zinaplay bila kuziruhusu,, ila ukiingia kwa kutumia website yao moja kwa moja,, utakuwa huru ku play video au lah,, issue ni bando sio kuingia,
Sawa nimekupata ulichokua unamanisha!! Basi Unafuu upo kweny site zaid mana mimi 1gb sikatiz nayo masaa 4 insta tu hlf nime-follow page nying sana hivy ilikua inaniumiza kweny bando, nihamie site!!
 
Hivi kumbe naye idriss sultan ni mchekeshaji, ndiyo najua Leo!
 
Insta inategemea ume-follow nini ndicho utakachopata pata.....hauwez pewa news nje ya circle ya ku-follow kwako so insta haina ubaya bali ubaya unatokea kichwani kwa mtu!! Nime-follow pages za kutosha ambazo hakuna udaku hata tone, na mimi ndy nafurahia hvyo so hapo mtu hawez niambia insta ni mbaya wakat napata mambo meng ya msing kupitia hizo pages! Na insta wao wanakupa pia related news kulingana na ulicho-follow!!
 
Kama bando shida... tumia WiFi za bure kwenye stand za magari...


Cc: mahondaw
Kila MTU nafikili aheshimu mawazo ya mwingine kule kuvichaa wengi sana wengine wanajiunga kwenye acc. Yako bila ww kujua kunashoga mmoja anajiita James delicious kuna kahaba mwingine anajiita mange wanatukana watu kutwa nzm sio wazee wala viongozi Wa dini mm nimesema BIG NO BIG NO nimekologa PW ili nisiludi tena Na kile kiapp nimetuma maombi PLAY STORE NA GOOGLE WAFUTE KWENYE SIMU wapumbavu sana
 
Instagram mimi napasikia tu.
Kila MTU nafikili aheshimu mawazo ya mwingine kule kunavichaa wengi sana wengine wanajiunga kwenye acc. Yako bila ww kujua kunashoga mmoja anajiita James delicious kuna kahaba mwingine anajiita mange wanatukana watu kutwa nzm sio wazee wala viongozi Wa dini mm nimesema BIG NO BIG NO nimekologa PW ili nisiludi tena Na kile kiapp nimetuma maombi PLAY STORE NA GOOGLE WAFUTE KWENYE SIMU wapumbavu sana
 
Hahahahahaha! Safi saana aisee.

Mimi nilipooana kila kinachotoka huko ni umbea; sikupata hata hamasa ya kujiunga.
 
Kila MTU nafikili aheshimu mawazo ya mwingine kule kuvichaa wengi sana wengine wanajiunga kwenye acc. Yako bila ww kujua kunashoga mmoja anajiita James delicious kuna kahaba mwingine anajiita mange wanatukana watu kutwa nzm sio wazee wala viongozi Wa dini mm nimesema BIG NO BIG NO nimekologa PW ili nisiludi tena Na kile kiapp nimetuma maombi PLAY STORE NA GOOGLE WAFUTE KWENYE SIMU wapumbavu sana
 
Mimi niliachananayo 2015 maana nilikua namaliza MB's zangu ku like yule alikufa (Official Agnes). Huyu alikua anapenda kupiga selfie msambwanda.

Niliachana na Instagram kabla hajafa ila namba yake ilikua imesha chukuliwa na Sanchoka (hakuacha pengo)
 
Mimi niliachananayo 2015 maana nilikua namaliza MB's zangu ku like yule alikufa (Official Agnes). Huyu alikua anapenda kupiga selfie msambwanda.

Niliachana na Instagram kabla hajafa ila namba yake ilikua imesha chukuliwa na Sanchoka (hakuacha pengo)
Jmn nisaidie huu Uzi umehamishiwa Jukwaa gn sioni
 
bora nikope ili nipate bando la kuingia insta, mji wote upo huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…